Wananchi wafunga barabara asubuhi hii Arusha

Wananchi wafunga barabara asubuhi hii Arusha

Natoka singda nakuja dar,kuna sehemu hapa singda limewekwa tuta kubwa kupta yote ktk barabara ya dar,morogoro,dom then singda!ni baada ya kugongwa watoto wawili mmoja wa chekechea na mwngne darasa la nne kwa mujibu wa wakaz wa huku singda!Rai yangu kwa wakaz wa arusha kufunga barabara co suluhisho ni kuwatesa tu raia na abiria watumiao hyo barabara!WEKEN TUTA KUBWA KUPTA MAELEZO THEN TANROADS WATAKUJA KUREKEBISHA NA KUWEKA YA KWAO
 
Hizi bangi kweli mbaya, yani zina haribu kabisa uwezo wa mtu kufikiri!

Sasa kama hao wananchi waliofunga barabara, kwani hawazijui taratibu za kuweka bumps kwenye barabara mpaka waifunge?

Kama barabara ni ya kitaifa au mkoa, basi wawasiliane na TANROADS ambao wana ofisi karibu kila mkoa, au kama ni ya wilaya wawasilishe halmashauri.

Mbona ni jambo dogo tu hili na wala halihitaji kuandamana na kufunga njia, kweli CHADEMA mmetuharibia jamii yetu.
Unachowashauli ndicho walichofanya!. Mawasiliano yapo ya aina nyingi na hapo wamewafikishia ujumbe wahusika wote uliowataja.
 
Angalia, itafikia mahali hata mai waifu wako akikunyima unyumba kwa kushindwa kwako kuwajibika kwenye familia, utasema ni Chadema

Wasu kutiki
Oumenya misango jinu oukola anu jitali ja kisi. My wife kaninyima unyumba kisa chadema ? This is more than commitment .
 
attachment.php

too explicity ...kah inatisha hata kama umeunganisha nazi.
 
Pesa za kujenga madaraja ya waenda kwa miguu inaliwa na JK na wapambe wake. kwa mashopping kede kede ughaibuni, tena siku hizi ati wanashindana nani ana pesa zaidi kuliko mwingine baada ya kutukamua kwenye kodi zetu. Hiyo ndio faida kubwa ya kuiba kura.
 
Back
Top Bottom