Wakuuu huyu mtoto namkubali sana. Najaribu kumrudisha tuishi kama zamani.
Miezi nane sasa imetimia hakuna hata dalili kama atarudi. Nimebembeleza mpaka nimechoka.
Nifanye nini jamani?
wakat niko kweny daladala la gongo la mboto naelekea kumtembelea jamaa yangu pande za kisemvule kuna jamaa akawa anamuomba ushauri mwenzake..
huyo jamaa kasomea procurement sasa anamwambia mwenzake anataka kubadili fani asomee post graduate ya marketing ili aweze kubadili fani awe mtu wa...
Baada ya kuachana na mwanamke ninayempenda sana nikapata mwingine within a week.
Tatizo nalokumbana nalo yani najikuta kama najilazimisha kumpenda huyu binti, most of the time automatically najikuta namuwaza x wangu.
Am forcing myself to luv my new girlfriend but its feels like mission...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.