Recent content by Ajiapro68

  1. Ajiapro68

    Wasifu/Biography wa Ali Masoud (Masoud Kipanya)

    Swala la sijida limekujaje hapa mwache na itikadi yake ww kama unajua CV yake lete hapa
  2. Ajiapro68

    Linganisha na tofautisha

    Hicho kilikuwa ni kielelezo chenye kuonesha nani anapita wapi kwa colour code kama nyekundu ni mabasi ya brt blue kivuko cha watu green ni majani kwenye pavement
  3. Ajiapro68

    Mbunge Said Kubenea akutwa na hatia kwenye mashitaka yanayomkabili

    Hahahaha unajaribu kuremba eti kuwa "kaachìwa huru" sema amekutwa na hatia kwa kosa la kutukana na amehukumiwa kifungo cha nje cha miezi 3
  4. Ajiapro68

    Kumbe hiki cheo amekifanyia kazi?

    As long as sauti yake inatoka na kusikika basi anafaa hakuna sheria wala kanuni katika chama inayosema mwenezi lazima awe kijana nadhani unawakumbuka chiligati mkuchika na seif khatib
  5. Ajiapro68

    Mwanahabari Salma Said akutana na wanahabari, aeleza kilichotokea

    Anatakiwa aende bongo movie akaendeleze kipaji chake cha uigizaji
  6. Ajiapro68

    Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

    Leta ile list ya mwembeyanga ili Rais aanze nayo
  7. Ajiapro68

    Kwa mara ya kwanza simu za kiganjani zilitumika mwaka gani hapa Bongo?

    Kampuni ya kwanza ni mobitel ambayo ndiyo Tigo ya sasa lkn walipitia majina mengine
  8. Ajiapro68

    Rais Magufuli apiga Marufuku kuingiza Sukari toka Nje

    Kuacha kabisa kuingiza sukari toka nje kutafanya bei ipande sana kilichotakiwa kufanywa ni kupunguza gharama za uzalishaji za ndani hasa kodi za bidhaa zinazohusiana na sukari kuanzia kilimo mpk sugar yenyewe Kama bei ya sukari ya hapa ikishuka sukari ya nje itakimbia yenyewe
  9. Ajiapro68

    USHUHUDA: Hii ndiyo michezo hatarishi ya Kampuni ya Mafuta ya Oilcom

    Ahsante sana hawa watu wameamua kuwaharibia wenzao biashara
  10. Ajiapro68

    USHUHUDA: Hii ndiyo michezo hatarishi ya Kampuni ya Mafuta ya Oilcom

    Katika zama za ushindani wa biashara kama hizi inabidi tuwe makini sana maana watu wanapakana matope sana
  11. Ajiapro68

    Watanzania tunahitaji kubadilika

    S iuacha kuisikiliza,kwani lazima !!?
Back
Top Bottom