Spark Gap
Member
- Jan 4, 2016
- 62
- 20
- Thread starter
- #21
Hio APP ni nini mkuu unaweza fafanua zaidi?Majibu mabovu hayamkatishi tamaa muelimishaji". Naunga mkono kweli kama tukitumia vizuri mtandao(internet) tunaweza kupata maarifa, elimu na mambo mengi sana. Mtoa post usijari kuna APP inakuja,waweza kuwazimia data watu wote wasio kuwa na matumizi mazuri na mtandao.