Recent content by ajent45

  1. ajent45

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya kujitolea, nina shahada ya Uandishi wa Habari

    Anzisha online TV
  2. ajent45

    JamiiForums Tanzania Hela zangu hazitaki kutoka kwenye Tigo lipa

    Ukiambiwa tatizo linashughulikiwa ndo umepewa majibu
  3. ajent45

    JamiiForums Tanzania Hela zangu hazitaki kutoka kwenye Tigo lipa

    Wanasema kuna shida ya mtandao
  4. ajent45

    JamiiForums Tanzania Hela zangu hazitaki kutoka kwenye Tigo lipa

    Nimevuta subira tangu jana kesho itakuwa siku ya tatu
  5. ajent45

    JamiiForums Tanzania Hela zangu hazitaki kutoka kwenye Tigo lipa

    Ofisi kama tigo shop? Huduma kwa wateja ukipiga wanasema wanashughulikia ila bado bilabila
  6. ajent45

    JamiiForums Tanzania Hela zangu hazitaki kutoka kwenye Tigo lipa

    Habari za jioni, Aisee tangu jana laini yangu ya tigo lipa haikubali kuhamisha pesa zilizopo kwenye laini ya tigo ya wakala sasa kuna laki saba na ushee na pesa haitaki kuhama mara naambiwa network error, inajicancel tu au inasema huduma hii haipatikani kwa sasa Dah mtaji wenyewe wa kuunga...
  7. ajent45

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Mara atembelea Mradi wa Kituo cha Polisi Butiama unaojengwa kwa Tsh. Milioni 802

    Jamani kuleni kwa urefu wa kamba zenu (in Samia voice)
  8. ajent45

    JamiiForums Tanzania Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

    HUMU NDANI KILA MTU NI LECTURER HAKUNA KILAZA NDIO MWANZO WA UPOTOFU KILA MTU NI MJUAJI
  9. ajent45

    JamiiForums Tanzania Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

    LUKA 23:42-43 mwizi anamwambia ee Yesu unikumbuke katika ufalme wako na YESU anajibu leo hii tutakuwa wote peponi. Toba kwa Yesu haina formula yeye ndie mwamuzi
  10. ajent45

    JamiiForums Tanzania Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

    Mwenye mamlaka ya mwisho ya kusamehe ni MUNGU na anaweza asiwepo mtu mwingine ila ukatubu kwa MUNGU ukasamehewa, yule mwizi wa msalabani nani alimwongoza sala ya toba? Kama sio Yesu, Paulo nani alimwongoza sala ya toba kama sio Yesu, Musa aliyekuwa muuaji na Mungu kumtokea kwenye kiti...
  11. ajent45

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mate yasitumike kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa

    mawazo ya uchumi wa kati haya.
  12. ajent45

    JamiiForums Tanzania Watanzania ni Watu wanaopenda sana Kujidanganya ili kufurahisha nafsi Zao!

    Muda wa kulala bado sana,, nchi ya kifalme hii bado unawaza chadema kuingia madarakani pole sana
  13. ajent45

    JamiiForums Tanzania Airtel wameniibia kamisheni yangu ya mwezi wa nane

    kweli mpaka upate location nzuri
  14. ajent45

    JamiiForums Tanzania Airtel wameniibia kamisheni yangu ya mwezi wa nane

    niko dar ,
  15. ajent45

    JamiiForums Tanzania Airtel wameniibia kamisheni yangu ya mwezi wa nane

    kila siku wanatuma message kwa leo mara umepata 3000 mara 2700 mara 4000 halafu mwezi unaisha unanipa 7000 hizi hela zinaenda wapi nilizoambiwa nimepata kila siku huu ni wizi aiseee inauma sana unamweka mtu dukani unategemea upate hela wao wanaleta mambo ya hivyo aisee
Back
Top Bottom