Recent content by Ajaye

  1. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Rais Nyerere na Magufuli Walikataa, Rais Samia Usikubali Nchi Yoyote Kuingilia Sovereignty Yetu, Iwe ni US, UK or EU!, Kwani Marekani Ndio Nani, Nini?

    Kama lijinga....Kuna muda tunajizuia kuwapa maneno mnayostahili ila ngoja nikujibu hivi Bwana mkubwa, ipo hivi hiyo Sovereignty mnayoipigia chapuo mmepewa kutoka kwenye sheria zao hao mnaowaita mabeberu ARTICLE 2(4) ya UN CHARTER Hiyo Sovereignty ni Right (haki) na palipo na haki kuna wajibu...
  2. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Kwani hawakujua kabisa kama kuna hizi teknolojia za kuanika uhalifu hata kama umeutenda gizani?

    Jeshi dhaifu kama kiuno cha Zuchu🤣🤣
  3. Ajaye

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 IGP na mfumo wa usalama wajiandae kisaikolojia, uwajibikaji unakuja

    Anaunda tume kuchunguza nini? Kwanini Watanzania tunarubuniwa kwa hoja za kipuuzi za watu kama yeye? Kuna polisi angeua vile bila ruhusa kutoka kwake aliyejitamba kuwa ni Amiri jeshi mkuu? Akisema hakutakuwa na nywi nywi wala nywi nywinywi? Aache maigizo ya hovyo na ya ajabu kwa watz...
  4. Ajaye

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kukithiri kwa wahamiaji haramu Tanzania hasa kutoka Malawi

    Kwenye jamii iliyo staarabika tunawaita wahamiaji wasiofuata utaratibu na sio haramu, hakuna mwanadamu haramu.
  5. Ajaye

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wanaopinga uteuzi wa Samia wataje wagombea wao ili tumpime

    Kwani samia hiyo mitano alipitishwa na Chama? Samia kaingia kikatiba kuikamilisha awamu ya 5 na si vinginevyo Ni mjinga tu aaminiye hii ni awamu ya 6 Period.
  6. Ajaye

    JamiiForums Tanzania When a man claims to have been raped. Can an erection be considered to have been his consent?

    The definition of rape varies from one jurisdiction to another, for example in Tanzania a male cannot sue for rape because when the court comes to test the elements it will fail to reach a consensus that the man was raped, so there is no rape for a man in Tanzania. Now let's go back to the...
  7. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Tuchemshe bongo kidogo

    29
  8. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Nawasihi Watanzania tuache kujiteka

    Hakika kwa weledi wa askali wetu hawa vijana sasa wameanza kujulikana, huenda hata wale waliopotea watakuja baadae kujitokeza mbele za umma wa watz baada ya malengo yao kufeli Hakika jeshi letu kwa akili na weledi katika criminal intelligence wapo vyema sana, maana kutambua mitego ya hawa...
  9. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Suleiman Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

    Hawezi elewa, asinge andika alichoandika
  10. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata masikio na kumtelekeza msituni

    Atafutwe Burhani mwenyekiti uvccm kagera atujibu hili
  11. Ajaye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawashangaa vijana wa Kenya, hakuna nchi itakayoweza kuendeshwa bila kodi

    Unakuta nawewe una watu wanakutegemea, aiseee soon kinawaka tz
  12. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri

    Ila wewe jamaa una akili fupi sana, kuitwa dada poa na kufungua kesi maana yake ni kukataa kuwa yeye sii dada poa, hii inamaana kuwa maneno hayo si ya kweli au tuhuma si za kweli Sasa kama tuhuma si zakweli na zilitolewa hadharani yaani kuna publication maana yake ni Defamation, Sasa sijui...
  13. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Israel imeshaichukua Rafah yote. Hakuna bataliani za Hamas wala mateka. Inaua tu bila kizuizi ikipingana na amri ya ICJ

    Bado sana na mtasema sana lakini neno la Mungu wa mbinguni halibadiliki, Kickapoo kipo pale pale, hii video haitabadili kichapo, kila lakheri
  14. Ajaye

    JamiiForums Tanzania Israel imeshaichukua Rafah yote. Hakuna bataliani za Hamas wala mateka. Inaua tu bila kizuizi ikipingana na amri ya ICJ

    Mkuu hapo bado sana, tarehe 7 October wasioipenda Israel 🇮🇱 ilifurahia mauaji na utekaji wa watoto na raia wa Israel, Ila kipigo kilipogeuka dhidi yao, zile shangwe hakuna bali vilio, mtoto alililia wembe wacha umkate tu hakuna namna, mpaka watakapoachia mateka kwani vita dhidi ya ugaidi ina...
  15. Ajaye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

    Mungu Alipo muumba Adam alimfanyia msaidizi, elewa neno MSAIDIZI, tatizo jamii ( hasa wewe mleta mada) mmejaa akili za kimaskini na ujinga mwingi kiasi kwamba unaona mwanamke hapaswi kuhudumia familia au kumsaidia mmewe majukumu, Ni either hujasoma au umeachika kwa upuuzi wako na unataka...
Back
Top Bottom