Alie sema kuwa mwanaume ni kichwa cha nyumba ni Mungu mwenyewe na alikuwa anajua kwamba binadamu wanapaswa kuheshimiana kujadili kuwa kauli hiyo inamakosa nikusema NENO la Mungu linamakosa na kama ni hivyo basi nikuuambia ulimwengu kuwa Mungu ni mwongo!!! si kwelitafakarinki upya
Natamani ufike wakati tunao muamini Mungu tuache kabisa kufikiria serikali inaweza kutupa haki yetu, ninaamini Mungu mwenyewe anaweza kutupa fursa ya kupambana na kupa yale ambayotunaamini ni haki yetu, tukumbuke kuwa serikali wao wanakazana kwa juhudi zao zoote kuijenga dunia iwe mahali pazuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.