Jamanii mitandao ya cm nyoko[emoji38]..Tigo Wamekuja na Halichachi Airtel wakaja na Halivundi Jana voda wakaja na Haliishi..Leo nasikia Zantel wanakwambia achana na Viporo...Lol Bado Haloteli
*nimesoma amri 10 za Mungu kwenye Bibilia cha ajabu sijaona amri ya kumpa demu hela, Hivi hii amri ya kuwapa mademu hela wanaume tumeipata wapi?* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kufulia kubaya tunatafuta sababu.
*By Bible*
*nimesoma amri 10 za Mungu kwenye Bibilia cha ajabu sijaona amri ya kumpa demu hela, Hivi hii amri ya kuwapa mademu hela wanaume tumeipata wapi?* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kufulia kubaya tunatafuta sababu.
*By Bible*
Chagua Mwanaume sahihi kwa nafasi sahih lasivyo utabaki unashangaa kwann haupati jawabu japo ushawachagua weng!..Mschana1 hata akitembee na wanaume4 hawez pata mimba ya wanaume4 lakin mwanaume1 akitembea na waschan4 wote wa4 watapata mimba......Tulii
Mume na mke wameingia hotel ya kifahari mambo yalikuwa hivi:
MUME:Wife unakula nn?
MKE:Utakachokula na mie hichohicho.
MUME:Mhudumu..!!
MHUDUMU:Naam mkubwa nikusaidie nini tafadhali?
MUME:Chips na kuku sahani mbili bei gani?
MHUDUMU:20,000/=
MUME:Inakuwa na kachumbari?
MHUDUMU:Ndio mkubwa...
Bwana mmoja alisafiri kwenda kijijini, alipofika akakuta mtandao wa simu unapatikana bila matatizo. Akamwandikia mke wake sms. Kwa bahati mbaya akakosea namba na ikamwendea mtu mwingine ambaye alikuwa ni mwanamke mjane. Yule mjane baada ya kuisoma akaanguka na kuzimia! Mwanae kuona vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.