Click apa kutazama video yangu

Wanajf njoo tumsupport mwenzetu,watu mko busy na harmorapa..nifanyie mpango kwa huyo vixin mkuu seriously..anyways Umejitahidi sana kaza buti..weka na YouTube pia
 
Ninyi wasanii na ma audio producers aheni sasa "AUTO TUNE" ni ushamba uliopitwa na wakati na nilikelelezo cha msanii kutokujua kuimba au kuimba out of tune na hivyo kufukia mabonde na hayo matakataka ' OUTOTUNE" muziki wa bongo unashindwa kuvuka mipaka kwa sababu produser bila kubonyeza kitufe cha outotune basi hajaridhika . Tubadilike ili umwambie mtu wazi kama sauti yake haifiki kwenye note husika akafanye kazi nyingine au aende bagamoyo kujifunza do -re-mi-fa-so-la-ti-do na sio kungangania muziki tuu
 
Back
Top Bottom