Ni sawa unayosema ila unakumbuka aliuitaje huo mziki? Hadi akakataza watu wasipige kwenye vituo vya redio na tv! Kwamba watakuwa wanazidi kumkosea Allah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli brother Mshana.
Africa tusingeweza kufua dafu kwa kuudhibiti huu ugonjwa hata kidogo.
Hata Mungu ametuhurumia kwa hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hadhihakiwi kabisa. Ukisema umeacha ya duniani naye anakuondolea yote uliyopata duniani ili uanze na MUNGU upya.
Sasa jombaa kaona hali si hali arudi mule mule.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.