Recent content by AiseeSijui

  1. AiseeSijui

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Jamaa anafaidi kishenzi, hapo akikaziwa macho anakosa konfidensi, udomozege/kigugumizi chote kinahamia kwake
  2. AiseeSijui

    Maneno yafuatayo utayasikia kusini mwa Tanzania pekee

    Huwa wanaanza na"hyeeeee"
  3. AiseeSijui

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna wimbo nautafuta umeimbwa na msanii anaitwa NTOMBE ulipigwa sana enzi niko mdogo jina la wimbo siujui lakin moja ya mashairi yake unaimbwa hivi [emoji444]mwanangooo mwanangooo lekatula kilindiiii asyere mwanangooo[emoji445][emoji444]
  4. AiseeSijui

    Watangazaji Azam hawajui kiingereza?

    Mi naona utumwa wa kiingereza kidogo unaafadhali kuliko huu utumwa wa dini. Utumwa wa dini ndio mbaya sana tena unasababisha umasikini mkubwa sana
  5. AiseeSijui

    Tundu Lissu na Kanuni ya kutembea na Maji yake ya kunywa, nilimuona Ikulu enzi za Kikwete na nimemwona juzi Star TV

    Ndiomaana hata Gwajiboy anataka aanze kutembea na microphone yake mwenyewe kila aendapo kwenye vikao vya ccm[emoji1][emoji1][emoji1]
  6. AiseeSijui

    Hizi ishu za Mungu/Dini ni very complicated

    Kwa upande wangu naona ukiishia tu kusema hakuna Mungu wafia dini hawawezi kukuelewa hata kidogo, inabidi waafrika wote watangaziwe kwamba MUNGU na SHETANI wote hawapo na wala hawajawai kuwepo au Kama yupo basi ni kiumbe mmoja mwenye sura zote mbili yaani upande Mungu na upande shetani kama...
  7. AiseeSijui

    Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

    Bila shaka Allah asipojibu dua za waislamu atazibuliwa kishenzi, maana watu hawa wanahasira sana kuswali mpaka vidonda kwenye paji la uso halafu bado unakufa maskini dua hazijibiwi sio sawa
  8. AiseeSijui

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Tafiti zinaonyesha watu wenye smartphone huwa mnachelewa sana kulala
  9. AiseeSijui

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    This is a nature and not Juma Nature, isn't it
  10. AiseeSijui

    Kuna haja sasa ya kutenganisha Shughuli za Kitaifa na Matamasha ya soka, Nanenane yafunikwa kabisa na Simba Day

    walio wanyonge karibia wote hawamtaki hata kumsikia, lakini wenye afadhari wanamshabikia kwa unafiki ili waendelee kuwepo kwenye nafasi zao, wanaogopa yasiwakute kama yaliyomkuta mgogo
  11. AiseeSijui

    Kuna haja sasa ya kutenganisha Shughuli za Kitaifa na Matamasha ya soka, Nanenane yafunikwa kabisa na Simba Day

    Tunakomaa nao, ila tumeamua ku-focus kwenye personal issues, maana huu ni upepo mdogo tu, baada ya muda mfupi utapita
  12. AiseeSijui

    Kuna haja sasa ya kutenganisha Shughuli za Kitaifa na Matamasha ya soka, Nanenane yafunikwa kabisa na Simba Day

    umeongea bonge la point, watu wengi huyu hawamuelewagi kabisa, wanaomshabikia ni wale wanaonyenyekea ili wapate maslahi fulani, lakini mioyoni mwao hawamkubali kabisa
  13. AiseeSijui

    Nguvu ya matamko (Neno): Jiponye mwenyewe

    haya ni Moja kati ya madini safi sana
Back
Top Bottom