Kwa kipindi cha nyuma sikua interested sana na mpira lakini kutokana na ujobless, Asee nimejikuta mpira simba na yanga naifatilia hadi kwenye group la familia nachangia tena mstari wa mbele hadi wakati mwingine nawaza usikute ndugu wanasema huyu kijana kazi yake kufatilia mipira tu nakua naoga...
Naomba kuuliza mfano nina mdogo wangu hakupata matokeo mazuri awali kidato cha 4 alipata 0. Akaenda kurudia mtiani na akapata credit 3.
Akajisajili tena kama private candidate na kufanya mtiani na kufaulu vizuri.
Alienda JKT mujibu wa sheria na cheti anacho.
Swali je uyu mtu LEAVING...
Maisha yanatutenganisha na wapendwa wetu. Hivyo basi kila mtu apatapo chance ya kuenjoy na mtu awe rafiki au yyte enjoy coz ikipita imepita
Wanadamu tunabadilika yule uliyenae Leo anaweza asiwe yeye wa kesho au wewe wa kesho
Mtu mkishatengana moja. 1. Awee mzuri Zaidi au awee mbaya zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.