Recent content by air force1

  1. A

    Nimepatwa na majanga

    duh!!! pole mwaya!
  2. A

    Neno mpenzi wangu unalitamkaje kwa kiruga chenu?

    kigane kyangu/nkundwe gwangu
  3. A

    Ni vibaya binti kumnunulia baba yake boxer?

    hakuna tatizo by the way wazaz wamechukulia poa
  4. A

    Mke wangu kafanya mapenzi na njemba kwenye kitanda tunacholalia

    ulisha confes cosa ni lako mwenyewe hasira ya nini? msamehe nuanze upya!
  5. A

    Kwa alichonifanya ....mimi namapenzi ndo baasi tena

    weng yanawatokea haya mtu unapendwa unaleta poz kija kumpenda mwenzio kashakutoa moyon. achen poz
  6. A

    Kaolewa na mimba yangu

    koma! km mda wa kuoa ulikua bado mimba ulimpa ya nini? kalagha bao acha waoaji wakutinzie. na mjamzito anavyokua mtamu atamfaidije?????????
  7. A

    salam zenu

    swalam!!!!!
  8. A

    kuachana kwa wanandoa ni suluisho la matatizo??!!!!

    wadau weng tunazan kuachana ni suluisho kwa ndoa yenye migogorozlkn kwa upande mwingine unakua ni mwanzo wa stres mpya coz unaanza kuish maisha mapya mbali na iliyoyazoea.....coz mazoea ni tabia! ratizo linakuja watoto wanaanza kuteseka hawayapat mapenz ya baba na mama km walivyozoea! mnakua...
  9. A

    kazi tuition center

    wadau natafuta tuition center ya kufundisha tafadhar nisaideni
  10. A

    salam zenu

    waungwana watwana vijana nawasalim......... wapita njia wa hapahapa wenyeji nawasabahi....... habar zenu jaman?????!!!!!!
  11. A

    mtoto kutokwa na mapele

    msaada jaman mtoto anatokwa na mapele kila mara mengine makubwa km jipu uchungu. hosptal akipewa dawa yanaisha baada ya mda yanatokea mengine
  12. A

    Ushauri: Ndugu Wanataka Nimfunge Baba Yangu Mdogo

    watakatifu wanaesabka nw days. uchungaj na ushee ni ajira tu
  13. A

    Mdada wewe wa One Night Stand.

    pole mwaya hakuna kitu kibaya km kusumbuliwa na hisia cha mcng jtahd kumsahau
Back
Top Bottom