si ndio hapo tena hata mimi sijui!!!!!!!!!
za siku nyingi?
Ubwe.ge huu..
Kama ni mimba yako si ukaichukue?
Mpenzi wangu kaolewa jamani na jamaa kisa sijui huku ana ujauzito wangu wa miezi sita mwanaume kaambiwa anadai yeye atalea mtoto, Hivi hapa kweli sina haki jamani? naipataje haki jamani? ahadi ya kumuoa nilimpa muda ndio ulikua bado!!!!!!!!
Jamaa alikuwa anachakachua kitambo mno. Alipiweka kitu ndo bidada akafanya maamuzi magumu ya kukubwaga. Niamini Mie dadako bwana, acha ubishi.
Ubwe.ge huu..
Kama ni mimba yako si ukaichukue?
Mpenzi wangu kaolewa jamani na jamaa kisa sijui huku ana ujauzito wangu wa miezi sita mwanaume kaambiwa anadai yeye atalea mtoto, Hivi hapa kweli sina haki jamani? naipataje haki jamani? ahadi ya kumuoa nilimpa muda ndio ulikua bado!!!!!!!!
hujambo toto la kiarabu?lol!hata wanawake hawajuagi mwenye mimba ni nani labda kama alikuwa ana-du na mtu mmoja tu!wanachofanya wanawake ni either kupiga ana ana ana doo au kuchagua baba wa mtoto ni mwenye hela au aliye tayari kuoa haraka
Jamaa alikuwa anachakachua kitambo mno. Alipiweka kitu ndo bidada akafanya maamuzi magumu ya kukubwaga. Niamini Mie dadako bwana, acha ubishi.
Mpenzi wangu kaolewa
jamani na jamaa kisa sijui huku ana ujauzito wangu wa miezi sita
mwanaume kaambiwa anadai yeye atalea mtoto, Hivi hapa kweli sina haki
jamani? naipataje haki jamani? ahadi ya kumuoa nilimpa muda ndio ulikua
bado!!!!!!!!
hahahahahhahahha, mbavu zangu jamaniUbwe.ge huu..
Kama ni mimba yako si ukaichukue?
hilo nalo neno, wanasemaga 'you will never know with a woman'Una uhakika gani kama alipanga na wewe tu?
mbona kuoana alipanga na wewe ila kaolewa na mtu mwengine?
hilo nalo neno, wanasemaga 'you will never know with a woman'
Ndio nakuambia siri anaijua mama ni wachache ambao hawajui na hawana akili piaa
Sijambo mie
hahahhahaha, ndio hivyo, nahisi bishosti kaona mpaka kapewa mimba ila bado bwana hajaonyesha kujitambulisha. Hata mie ningefanya hivyo hivyoMwanamke yupo complex kama kifaa chake....
hahahhahaha, ndio hivyo, nahisi bishosti kaona mpaka kapewa mimba ila bado bwana hajaonyesha kujitambulisha. Hata mie ningefanya hivyo hivyo