Siku zote penda ku achieve the best, kulipwa mshahara haiondoi uhalisia wenye ufaulu mdogo wanakuwa na wivu ndio maana wanahangaika kujulinganisha na vipanga kama vyuo vya kata vinavyohangaika kujulinganisha na udsm
Kwa mchepuo wake asome law Ina uwanja mpana anaweza kuajiriwa government,private au akafungua ofisi yake ,kwenye kujairiwa kozi ya procurement and logistic management pia nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.