Recent content by Aichase

  1. A

    Jinsi Abu Bakr al-Baghdadi [ISIS Leader] alivyouawa

    What does it mean to die like a dog? "die like a dog. Die miserably or shamefully. ... Indeed, this is the way a dog wouldplead for mercy. It may be that the reason dying like a dog is shameful is because, when threatened in such a way, a dog will beg for its life. For a human to do so can be...
  2. A

    My trip to Geita, and what I saw

    "If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart." - Nelson Mandela.
  3. A

    My trip to Geita, and what I saw

    Umeandika jambo muhimu sana ila, Watanzania wengi kwa ujumla hawana utaratibu wala mazoea ya kupokea habari au taarifa kwa njia ya kusoma. Tunaendekeza zaidi kupeana habari kwa njia ya mdomo ambayo ni simulizi / hadithii. (Haswa umbea). Pia ingekuwa vyema ukaandika kwa kiswahili au ukatafsiri...
  4. A

    Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

    Kiranga, katika sifa nyingi ulizonazo, mojawapo ni hii; wewe ni mwalimu mzuri sana
  5. A

    Watangazaji wetu kwanini hamjifunzi majina/maneno fulani yanatamkwaje?

    Hii L na R ni janga la taifa. Naona kama wanafanya makusudi maana hata kimaandishi wanaandika hivyo. Hivi somo la mwandiko bado lipo kwenye shule za msingi? Kuhusu wazungu kushindwa kutamka isiwe kisingizio kwetu. Akishindwa mzungu sio lazima na mwingingine ashindwe. Pia wale watangaza habari...
  6. A

    Watangazaji wetu kwanini hamjifunzi majina/maneno fulani yanatamkwaje?

    Kupata alama pungufu baada ya kuhitimu elimu ya kiwango fulani isiwe sababu jamani. Kuna kujiongeza pia. Matumizi ya smart phones, tv na redio vinasaidia sana kwenye taaluma ya habari. Kuuliza pia sio ujinga. kama hujui, huna uhakika unaweza kuuliza hata huku JF na utasaidika na kujifunza. Uvivu...
  7. A

    Rais Dkt. Magufuli unataka ‘ Uthibitisho ‘ gani tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa DSM Ndugu Makonda ni ‘ Bomu ‘ hatari unalolifuga?

    Uko sawa sawa kweli?! We ndo unataka kukuza mambo sasa. Haya mambo ya miaka ya 90 Meru hayaingiliani na hali halisi iliyopo juu ya PM. Alichosema Askofu na alichosema RC msibani vinahusiana. Ukweli ni kwamba kauli ya PM imewakwaza wengi mno, wachaga na wasio wachaga. Askofu na Katibu wa CCM...
  8. A

    Kwanini Waafrika wanateswa na kufukuzwa Israel?

    Hata sielewi kwa nini Waafrika wengi hupenda kwenda kuhiji huko. Pesa zetu za utalii ni nzuri ila sisi kama binadamu .......! mhh
  9. A

    Kwanini Waafrika wanateswa na kufukuzwa Israel?

    cc niah, Nkanini, Number 41, BAK na wengine wote.
Back
Top Bottom