What does it mean to die like a dog?
"die like a dog. Die miserably or shamefully. ... Indeed, this is the way a dog wouldplead for mercy. It may be that the reason dying like a dog is shameful is because, when threatened in such a way, a dog will beg for its life. For a human to do so can be...
"If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart." - Nelson Mandela.
Umeandika jambo muhimu sana ila, Watanzania wengi kwa ujumla hawana utaratibu wala mazoea ya kupokea habari au taarifa kwa njia ya kusoma. Tunaendekeza zaidi kupeana habari kwa njia ya mdomo ambayo ni simulizi / hadithii. (Haswa umbea).
Pia ingekuwa vyema ukaandika kwa kiswahili au ukatafsiri...
Hii L na R ni janga la taifa. Naona kama wanafanya makusudi maana hata kimaandishi wanaandika hivyo. Hivi somo la mwandiko bado lipo kwenye shule za msingi?
Kuhusu wazungu kushindwa kutamka isiwe kisingizio kwetu. Akishindwa mzungu sio lazima na mwingingine ashindwe. Pia wale watangaza habari...
Kupata alama pungufu baada ya kuhitimu elimu ya kiwango fulani isiwe sababu jamani. Kuna kujiongeza pia. Matumizi ya smart phones, tv na redio vinasaidia sana kwenye taaluma ya habari. Kuuliza pia sio ujinga. kama hujui, huna uhakika unaweza kuuliza hata huku JF na utasaidika na kujifunza. Uvivu...
Uko sawa sawa kweli?! We ndo unataka kukuza mambo sasa. Haya mambo ya miaka ya 90 Meru hayaingiliani na hali halisi iliyopo juu ya PM. Alichosema Askofu na alichosema RC msibani vinahusiana. Ukweli ni kwamba kauli ya PM imewakwaza wengi mno, wachaga na wasio wachaga. Askofu na Katibu wa CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.