Mshana ana special thread???
Nakubali kwansababu sayansi mimea bado sua Wana suasua.
Kuna watu hawajui kwamba kuna muda unatakiwa ulale na bakuli la maji safi chumbani ili kuhakikisha O2 inakiwepo
Hapa tupo shingoni, bado kichwa tu. Kama ni ng'ombe imebaki mkia tu kiwiliwili kwisha. Kwa kuwa serikali haziamini utabiri. Basi waamini hata political winds it blows.
Tayari sio mpasuko tena ni pamde mbili tofauti, asilimia mia hakuna anayesapoti pande.
Hata raia wamechoka. Ikifanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.