Recent content by AI tata

  1. AI tata

    JamiiForums Tanzania Singing jr huko Whatsapp anatoa vi0ande humohumo akijisikia viands kipande kimoja coins 3

    Huyu jamaa anafeli sana
  2. AI tata

    JamiiForums Tanzania 2030 Itafika, hakuna katiba mpya, hakuna tume huru ya uchaguzi na uchaguzi utafanyika na CCM itaendelea kuongoza na maisha yataendelea

    Upinzani huu vyama visivyo chadema ndio tatizo la demicrasia nchini
  3. AI tata

    JamiiForums Tanzania Mshana Jr special thread

    Naomba iwepo, mods weekeeni pini
  4. AI tata

    JamiiForums Tanzania Mshana Jr special thread

    Sikujua kumbe kuna mimea ya kufyomza kemikali
  5. AI tata

    JamiiForums Tanzania Mshana Jr special thread

    Mshana ana special thread??? Nakubali kwansababu sayansi mimea bado sua Wana suasua. Kuna watu hawajui kwamba kuna muda unatakiwa ulale na bakuli la maji safi chumbani ili kuhakikisha O2 inakiwepo
  6. AI tata

    JamiiForums Tanzania KERO Kwenu Tanesco: Tangu jana nimeshindwa kununua umeme, hela imekatwa ila sijapata Token

    Ndio ukweli wenyewe mkuu
  7. AI tata

    JamiiForums Tanzania KERO Kwenu Tanesco: Tangu jana nimeshindwa kununua umeme, hela imekatwa ila sijapata Token

    Nikinunua umeme token haijaja nafanyaje, maana hapo hata nikiomba last tiken
  8. AI tata

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Nashauri uondoe hii post before t too late
  9. AI tata

    JamiiForums Tanzania Watanganyika mnasahau sana. Miki bado nipo kwenye utabiri wa Sheikh Yahaya. Ile hatua ya baada ya Rais Mwanamke.......

    Hapa tupo shingoni, bado kichwa tu. Kama ni ng'ombe imebaki mkia tu kiwiliwili kwisha. Kwa kuwa serikali haziamini utabiri. Basi waamini hata political winds it blows. Tayari sio mpasuko tena ni pamde mbili tofauti, asilimia mia hakuna anayesapoti pande. Hata raia wamechoka. Ikifanyika...
  10. AI tata

    JamiiForums Tanzania Siamini kabisa kuwa barua ya kujiuzulu imeandikwa na Dr. Nchimbi mwenyewe; kwa nini aseme anaacha siasa na utumishi wa umma?

    Nakubaliana nawe sehemu ya barua inayoshukuru inamadoido ya kutia chunvi, nchimbi sio mwoga wa kuomba omba samahani na shukurushukuru
  11. AI tata

    JamiiForums Tanzania Sisi wa salary advance kuna shida gani?

    Nibora nihamie Burundi
  12. AI tata

    JamiiForums Tanzania Sisi wa salary advance kuna shida gani?

    Ahaaa kwamba utarejea baadae?
  13. AI tata

    JamiiForums Tanzania Sisi wa salary advance kuna shida gani?

    Kivipi mkuu, upya kiaje
Back
Top Bottom