Recent content by ahoy

  1. A

    Msidanganywe eti sasa hivi hali ya maisha ughaibuni ni rahisi

    Mkuu masuala ya ajira ni magumu dunia nzima, lakini nchi za ulaya magharibi kuna unafuu mkubwa sana ukilinganisha na sehemu zingine za dunia, kama upo ulaya na unaishi kihalali huwezi kukosa kazi labda kama unachagua kazi za taaluma fulani tuu, hivi sasa ulaya magharibi kazi ni nyingi sana na...
  2. A

    kozi kati ya bachelor of sciencie in civil engineerng UDSm au bachelor of science in elecronic and telecom DIT

    shukran sana, suala la kuji ajiri au kuajiriwa ni muhimu sana hivyo nitamshauri kama ulivyo pendekeza
  3. A

    kozi kati ya bachelor of sciencie in civil engineerng UDSm au bachelor of science in elecronic and telecom DIT

    Habari wakuu, Naomba msaada wa mawazo au ushauri katika kuchagua kati ya hizo kozi mbili nilizo zitaja hapo juu Kijana wetu amepata bahati ya kupata nafasi katika hizo kozi mbili hapo juu lakini nimeshindwa kumshauri achague ipi kwa vile sina uelewa mzuri wa hizo kozi ,
  4. A

    Bajeti ya Kenya ni Tsh. Trilioni 78, Tanzania ni Tsh. Trilioni 34 na Uganda Tsh. Trilioni 30

    Mkuu kama ikiwezekana labda tujue ni mapato kiasigani kenya wanakusanya ukiliganisha na kwetu, pia tulinganiishe bajeti za wizara muhimu kama kilimo na viwanda
  5. A

    Kuibuka kwa suala la bandari ya Bagamoyo ni uthibitisho kuwa Kikwete ndo anaeongoza nchi kwa sasa!

    Nadhani tanzania tuna kosa sera na mipango ya maendeleo kulingana na mahitaji na uwezo tulio kuwa nao wa kifedha, bandari ya dar bado ina kidhi mahitaji yetu kwasasa, hivyo kwa mipango ya baadae labda mradi wa bandari huu wa bagamoyo ungepelekwa tanga au mtwara, Tanga ni karibu na nchi za...
  6. A

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kigamboni

    mkuu unapatikana vipi? au tunaweza kuwasiliana vipi hasa kwa simu au ana kwa ana
  7. A

    House4Sale Nauza nyumba Kigamboni Mikwambe Mil 67

    Habari mkuu ningependa kufahamu kama kiwanja kime pimwa , na kina hati na je ni cha ukubwa gani ?
  8. A

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Idadi ya ya watu ni kubwa mno ungilinganisha na huduma za afya zilizopo. hivyo kuna umuhimu wa kuongeza hospital, zahanati na vituo vya afya wakati hili likifanyika ziwepo jitihada za kuongeza idadi madakttari wauguzi na wakunga pia mboreshe maslahi ya watoa huduma hasa mishahara , marupurupu...
  9. A

    Sera ya kilimo kwa Serikali hii ni ipi?

    sera ya kilimo au sera za kilimo zaweza kuwa kwenye makaratasi lakini kwenye utekelezaji bado kabisa, kilimo kina hitaji mabadiliko makubwa sana yapaswa tuwe na kilimo cha kisasa tuanze kwa kumtoa mkulima kwenye jembe la mkoni na kumuwezesha kumiliki trekta au kulima kwa trekta sambamba na...
  10. A

    Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

    kwa mazingira mazuri na rasilimali zilizopo tanzania, yawezekana tumekosa sera nzuri za uchumi na kukosa vipaombele kwenye mipango ya maendeleo.
  11. A

    Sukari: Ushauri wangu kwa serikali

    serikali iache nguvu ya soko ifanye kazi, huu ni utaratibu wakawaida kabisa kwenye mfumo wa soko huria
  12. A

    Shukrani kwa kukubaliwa kuwa member wa JF

    Naomba nianze kwa kuwapongeza wana JF kwa kazi kubwa na nzuri ya kuhabarisha na kufundisha mambo mbalimbali yanayo gusa jamii Pia nikiri kwamba nimekuwa mnufaika wa taarifa na masuala mbalimbali yaliyomo humu JF Ahsanteni sana kuniunga humu.
Back
Top Bottom