binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,902
- 22,284
Sisi waTz ndio hatuna wala rushwa? hapa tunajadili bajeti bado hata hatujajadili bajeti ya mwaka wa fedha uliopita ilitekelezwa kwa asilimia ngapi, ni aibu kupigiana makofi kujadili bajeti ya kwenye makaratasi. Hivi ni lini tutaacha blah blah nchi hii.Hiyo bajeti ndogo ya tanzania itafanya mambo yenye thamani kwa kubwa kwa umma kuliko ya kenya. Kenya kiasi kikubwa kitaishia mifukoni kwa watu kwa rushwa.
Mwigulu mbwembwe zote zile kuingia bungeni na ving'ora ni kwenda kuwasilisha bajeti ya kwenye karatasi ambayo hatujui utekelezaji wake utafikiwa kwa asilimia ngapi!