Recent content by Ahead

  1. Ahead

    Tofauti ya Simba na Yanga kuelekea mechi zao za robo fainali

    No wonder mnaambiwa ubingwa wenu unamakandokando yaani unamdoubt mtu mwenye consistent miaka tano caf wakati wewe miaka 25 hujui kuingia makundi club bingwa ya caf maana yake nini.
  2. Ahead

    Tofauti ya Simba na Yanga kuelekea mechi zao za robo fainali

    Ni Tanzania pekee timu iliyo nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi na ya tano afrika inaitwa timu dhaifu na ndio timu pekee inayoshikilia kombe rasmi (ngao ya jamii) kwa msimu husika ila inaitwa dhaifu hayo ni maajabu!
  3. Ahead

    Vijana wa Kitanzania msipoacha woga hamtaendelea

    Kwanini context ya uoga inapendwa kuongelewa kwenye mambo ya siasa sana?
  4. Ahead

    Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

    Mpaka sasa uzi una saa zaidi ya nne na mtu ameandika vitu kinyume na maadili yetu hususani kumwingilia binadamu mwenzake kinyume na maumbile halafu ma moderators wanauangalia tu,sema nini kuna roho shetani anaipandika kupitia JamiiForums ndio maana ndoa inachukiwa sana humu,wale wacha Mungu...
  5. Ahead

    Kwa wanandoa: Unamalizaje haja zako Ukiwa mbali na mwenza wako?

    Tunavumilia tu,mfano mimi mke alikuwa kanda ya ziwa na nilikuwa kusini lakini sikuwahi kuchepuka,kwani magerezani wanaishije?
  6. Ahead

    Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

    Uzuri mc pilipili amewazidi umaarufu wote mnaokaa kupoteza muda kumujadili.
  7. Ahead

    Bila simba imara soka la kimataifa tungelisikia kwa wenzetu tu

    Anza wew kuonesha hiyo medali,ambayo caf imeanza kutoa kwa mashabiki wa Yanga labda useme wewe ni kibwana shomari
  8. Ahead

    Bila simba imara soka la kimataifa tungelisikia kwa wenzetu tu

    Wewe unajua kila kitu au umeniwahi tu?
  9. Ahead

    Simba atapigwa goli 1 na Jwaneng Gallaxy na kutolewa mashindanoni

    Nabatilisha laana yako kwa damu ya Yesu
Back
Top Bottom