Recent content by Ahead

  1. Ahead

    Iran imejichokea kupitiliza

    Ukweli mchungu
  2. Ahead

    Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    Amemtandika sawasawa kwa kipimo gani,hivi Kuna loss kubwa Kam kupoteza rais wa nchi kwenye ardhi yako na viongozi waandamizi wote wa jeshi hawapo mpaka sasa utasemaje Israeli ametandikwa sawasawa hakuna hata mkuu wa kikosi wa jeshi aliyeuawa tangu vita uanze!
  3. Ahead

    Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    Kumtumikia Mungu ni kwa umri wote kuanzia mdogo mpaka mkubwa usisubiri umekongoroka ndio umkumbuke muumba wako
  4. Ahead

    Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    Mzee wa kanisa ni cheo sio umri,pole hata vyama vya kidini kama ukwata kule sekondari Wana wa wazee wa kanisa,wale ni wazee?
  5. Ahead

    Je mayai na kuku wa kizungu wanafaa Kwa familia ulaji w mara Kwa mara? Au ni ya kubutudikia Kwa wauza chipsi na nyama magengeni

    Mayai ya kisasa kama yalivyo maziwa ya ng'ombe wa kisasa hayana shida kabisa,kikubwa ni kuzingatia matumizi sahihi ya madawa hasa muda rufani(withdrawal period) basi, otherwise nutrition content ni sawa kabisa,tena wakati mwingine haya ya kisasa yanaweza kuwa salama sana kuliko ya kienyeji...
  6. Ahead

    Hii nafasi ya Makamu wa Rais, mbona huwa tunaletewa watu wa ajabu sana?

    Kwenye hiyo orodha mtoe Emmanuel Nchimbi,toka enzi za Lowassa alionesha ni mtu wa msimamo ambae yupo tayari kusimamia kile anachoamini bila kujali nini kitampata.
  7. Ahead

    Kiboko ya Wachawi abadili dini na kuwa Muislamu

    Hapo nyie ndio mnakashifiwa sio sisi labda safari hii mtamshikisha adabu
  8. Ahead

    PostGE2025 Mzee Warioba ni tunda la mfumo kristo na anachokifanya ni muendelezo wa harakati zile zile

    Mwislamu anaongoza nafasi kubwa kuliko zote Tanzania halafu manaleta lugha za mfumo kristo,nyie hamnaga jema ni kulalamika kwa kila la kheri au shari.
  9. Ahead

    Kiti kiko wapi...! Kigoda je..?

    Mhh kwa yule tusijipe matumaini hewa,japo inatafakarisha.
  10. Ahead

    Huu ni mwisho wa CHADEMA, endapo hazitachukuliwa hatua za haraka basi chama kitasambaratika

    Lissu yuko wapi sasa hivi,jibu swali halafu tuendelee
  11. Ahead

    PostGE2025 Hii video iliyowekwa na Spika mstaafu Dr. Tulia Instagram ina maana gani?

    Kwamba anafunika ukweli akidhani hajaonekana kumbe kaonekan
  12. Ahead

    Kati ya Yohana na Mathayo yupi iko sahihi katika hili licha ya kuwa wote walishushiwa ufunuo wa "roho mtakatifu"

    Kwanza umequote context mbili tofauti,hapo uliquote Yohana akiwaaambia watu huyu ndiye niliyewaambia ya kwamba anakuja....ilikuwa wakiwa wameshatoka rohoni wamevaa miili ya kibinadamu, lakini kwanini Yohana alituma wanafunzi wake kumuuliza Yesu je yeye au wamtazamie mwingine ilikuwa ni baada ya...
Back
Top Bottom