Amemtandika sawasawa kwa kipimo gani,hivi Kuna loss kubwa Kam kupoteza rais wa nchi kwenye ardhi yako na viongozi waandamizi wote wa jeshi hawapo mpaka sasa utasemaje Israeli ametandikwa sawasawa hakuna hata mkuu wa kikosi wa jeshi aliyeuawa tangu vita uanze!
Mayai ya kisasa kama yalivyo maziwa ya ng'ombe wa kisasa hayana shida kabisa,kikubwa ni kuzingatia matumizi sahihi ya madawa hasa muda rufani(withdrawal period) basi, otherwise nutrition content ni sawa kabisa,tena wakati mwingine haya ya kisasa yanaweza kuwa salama sana kuliko ya kienyeji...
Kwenye hiyo orodha mtoe Emmanuel Nchimbi,toka enzi za Lowassa alionesha ni mtu wa msimamo ambae yupo tayari kusimamia kile anachoamini bila kujali nini kitampata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.