Mayai ya kisasa kama yalivyo maziwa ya ng'ombe wa kisasa hayana shida kabisa,kikubwa ni kuzingatia matumizi sahihi ya madawa hasa muda rufani(withdrawal period) basi, otherwise nutrition content ni sawa kabisa,tena wakati mwingine haya ya kisasa yanaweza kuwa salama sana kuliko ya kienyeji...
Kwenye hiyo orodha mtoe Emmanuel Nchimbi,toka enzi za Lowassa alionesha ni mtu wa msimamo ambae yupo tayari kusimamia kile anachoamini bila kujali nini kitampata.
Kwanza umequote context mbili tofauti,hapo uliquote Yohana akiwaaambia watu huyu ndiye niliyewaambia ya kwamba anakuja....ilikuwa wakiwa wameshatoka rohoni wamevaa miili ya kibinadamu, lakini kwanini Yohana alituma wanafunzi wake kumuuliza Yesu je yeye au wamtazamie mwingine ilikuwa ni baada ya...
Wengi wenu mnaleta mzaha au mnamtazamo hasi kuhusu kanisa kwasababu hamjui mwanzilishi wa kanisa ni nani,pia kuweni specific makanisa mnayotaka kuanzisha ni yapi maana kanisa la Mungu huanzishwa na Mungu mwenyewe na kanisa la shetani analolianzisha shetani,basi kuweni makini maana ukiletea mzaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.