Recent content by Ahead

  1. Ahead

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga wa karne kukataa kiwanda cha kuchuja mafuta kujengwa Tanga-missed oppurtunities

    Inasikitisha sana aisee
  2. Ahead

    JamiiForums Tanzania Iran imejichokea kupitiliza

    Ukweli mchungu
  3. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    Amemtandika sawasawa kwa kipimo gani,hivi Kuna loss kubwa Kam kupoteza rais wa nchi kwenye ardhi yako na viongozi waandamizi wote wa jeshi hawapo mpaka sasa utasemaje Israeli ametandikwa sawasawa hakuna hata mkuu wa kikosi wa jeshi aliyeuawa tangu vita uanze!
  4. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    Kumtumikia Mungu ni kwa umri wote kuanzia mdogo mpaka mkubwa usisubiri umekongoroka ndio umkumbuke muumba wako
  5. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    Mzee wa kanisa ni cheo sio umri,pole hata vyama vya kidini kama ukwata kule sekondari Wana wa wazee wa kanisa,wale ni wazee?
  6. Ahead

    JamiiForums Tanzania Je mayai na kuku wa kizungu wanafaa Kwa familia ulaji w mara Kwa mara? Au ni ya kubutudikia Kwa wauza chipsi na nyama magengeni

    Mayai ya kisasa kama yalivyo maziwa ya ng'ombe wa kisasa hayana shida kabisa,kikubwa ni kuzingatia matumizi sahihi ya madawa hasa muda rufani(withdrawal period) basi, otherwise nutrition content ni sawa kabisa,tena wakati mwingine haya ya kisasa yanaweza kuwa salama sana kuliko ya kienyeji...
  7. Ahead

    JamiiForums Tanzania Wahubiri Wenzangu, tuhubiri utakatifu

    Mwaka gani
  8. Ahead

    JamiiForums Tanzania Hii nafasi ya Makamu wa Rais, mbona huwa tunaletewa watu wa ajabu sana?

    Kwenye hiyo orodha mtoe Emmanuel Nchimbi,toka enzi za Lowassa alionesha ni mtu wa msimamo ambae yupo tayari kusimamia kile anachoamini bila kujali nini kitampata.
  9. Ahead

    JamiiForums Tanzania Kiboko ya Wachawi abadili dini na kuwa Muislamu

    Hapo nyie ndio mnakashifiwa sio sisi labda safari hii mtamshikisha adabu
  10. Ahead

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mzee Warioba ni tunda la mfumo kristo na anachokifanya ni muendelezo wa harakati zile zile

    Mwislamu anaongoza nafasi kubwa kuliko zote Tanzania halafu manaleta lugha za mfumo kristo,nyie hamnaga jema ni kulalamika kwa kila la kheri au shari.
  11. Ahead

    JamiiForums Tanzania Kiti kiko wapi...! Kigoda je..?

    Mhh kwa yule tusijipe matumaini hewa,japo inatafakarisha.
  12. Ahead

    JamiiForums Tanzania Huu ni mwisho wa CHADEMA, endapo hazitachukuliwa hatua za haraka basi chama kitasambaratika

    Lissu yuko wapi sasa hivi,jibu swali halafu tuendelee
  13. Ahead

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hii video iliyowekwa na Spika mstaafu Dr. Tulia Instagram ina maana gani?

    Kwamba anafunika ukweli akidhani hajaonekana kumbe kaonekan
Back
Top Bottom