Kuna thread iliandikwa humu jamaa yule alitabiri kifo cha rais JPM,akesema siku zinakuja nchi itaongozwa na makamu wa rais asiyechaguliwa kwenye box la kura,watu wakamuuliza ni SHS,jamaa akakataa katakata akasema la hasha sio yeye,sasa baada ya barua ya Leo naona dalili za wazi jambo like...
Sawa ila neno la Mungu lazima lihubiriwe kwa hila au kwa wema,nakuhakikishia tendo alilolifanya huyo mama litamdai tu,yumkini huyo mtumishi asiwe na thawabu mbele za Mungu ila kwakuwa alipeleka neno la Mungu, somebody must be accountable for her actions.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.