Recent content by Ahead

  1. Ahead

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Hasa Imani ya Kikristo,ikizingatiwa hapo mtoa mada ametaja jina la Yesu.
  2. Ahead

    JamiiForums Tanzania Miaka 40 sina nachomiliki zaidi ya smart phone

    Basi mnaona forty mbali wenyewe
  3. Ahead

    JamiiForums Tanzania MIXX BY YAS na misemo ya kihuni

    Sio hawa walianzisha kifurushi wakaita 'cha asubuhi '
  4. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na uungu wa Yesu. Inakuwaje Mungu anapigwa misumari msalabani na watu aliowaumba?

    Mungu ni mmoja ila anajifunua katika nafsi tatu yaani Mungu (baba),Mungu mwana(Yesu) na Mungu Roho mtakatifu,so hapa baba ni Mungu.
  5. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na uungu wa Yesu. Inakuwaje Mungu anapigwa misumari msalabani na watu aliowaumba?

    Ndio ila yeye mwenyewe ndio aliutoa uhai,na akaurudisha(akafufuka). Soma hapa; Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Yohana 10:17 kumbuka pasipo damu hakuna ondoleo la dhambi, hivyo Mungu mwenyewe ilibidi ashuke kuimwaga damu(kufa msalabani)ili mwanadamu...
  6. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na uungu wa Yesu. Inakuwaje Mungu anapigwa misumari msalabani na watu aliowaumba?

    Yaani pamoja na maelezo hayo na ushahidi wote bado una kaza fuvu, kweli sikio la kufa halisikii dawa, kwa taarifa yako huyo uliyemtaja ni mwigizaji aliyeigiza maisha ya Yesu sisi wajinga kiasi hicho kama unavyodhani.
  7. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Nianze leo kuchunguza ? hilo lishafanyika muda.
  8. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Pole kwa majanga,umalaya ni tabia mimi pia nimeoa mjita na mimi sio mzaliwa wa huko,lakini sijawahi fumaniwa kwa kuona wala kuhadithiwa juu ya tabia za kimalaya na mengine uliyosema, nadhani binadamu husimulia yaliyo kwenye upeo wa macho yake kama karma ilikutakia mke wa aina hiyo hata ungeoa...
  9. Ahead

    JamiiForums Tanzania Madaktari wa Israel wamfanyia upasuaji mtoto huku akiwa bado tumboni kwa mama yake

    Hawa jamaa ni ma genius
  10. Ahead

    JamiiForums Tanzania John Nchimbi waelekeze Youtubu wafute Ile video yako na Sofia Simba mkimkataa Magufuli baada ya kupitishwa kugombea urais

    Sio kweli walikuwa wanalalamikia mgombea wao Lowassa kuenguliwa na sio walimkataa magufuli, kwasababu magufuli alikuwa hajateuliwa au kupigiwa kura za kuwa mgombea wa ccm
  11. Ahead

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga wa karne kukataa kiwanda cha kuchuja mafuta kujengwa Tanga-missed oppurtunities

    Inasikitisha sana aisee
  12. Ahead

    JamiiForums Tanzania Iran imejichokea kupitiliza

    Ukweli mchungu
  13. Ahead

    JamiiForums Tanzania Nchi za kiarabu kwa miaka 78 zimeshindwa kuifanya chochote nchi ya Israel

    Amemtandika sawasawa kwa kipimo gani,hivi Kuna loss kubwa Kam kupoteza rais wa nchi kwenye ardhi yako na viongozi waandamizi wote wa jeshi hawapo mpaka sasa utasemaje Israeli ametandikwa sawasawa hakuna hata mkuu wa kikosi wa jeshi aliyeuawa tangu vita uanze!
Back
Top Bottom