Recent content by Ahead

  1. Ahead

    Je mayai na kuku wa kizungu wanafaa Kwa familia ulaji w mara Kwa mara? Au ni ya kubutudikia Kwa wauza chipsi na nyama magengeni

    Mayai ya kisasa kama yalivyo maziwa ya ng'ombe wa kisasa hayana shida kabisa,kikubwa ni kuzingatia matumizi sahihi ya madawa hasa muda rufani(withdrawal period) basi, otherwise nutrition content ni sawa kabisa,tena wakati mwingine haya ya kisasa yanaweza kuwa salama sana kuliko ya kienyeji...
  2. Ahead

    Hii nafasi ya Makamu wa Rais, mbona huwa tunaletewa watu wa ajabu sana?

    Kwenye hiyo orodha mtoe Emmanuel Nchimbi,toka enzi za Lowassa alionesha ni mtu wa msimamo ambae yupo tayari kusimamia kile anachoamini bila kujali nini kitampata.
  3. Ahead

    Kiboko ya Wachawi abadili dini na kuwa Muislamu

    Hapo nyie ndio mnakashifiwa sio sisi labda safari hii mtamshikisha adabu
  4. Ahead

    PostGE2025 Mzee Warioba ni tunda la mfumo kristo na anachokifanya ni muendelezo wa harakati zile zile

    Mwislamu anaongoza nafasi kubwa kuliko zote Tanzania halafu manaleta lugha za mfumo kristo,nyie hamnaga jema ni kulalamika kwa kila la kheri au shari.
  5. Ahead

    Kiti kiko wapi...! Kigoda je..?

    Mhh kwa yule tusijipe matumaini hewa,japo inatafakarisha.
  6. Ahead

    Huu ni mwisho wa CHADEMA, endapo hazitachukuliwa hatua za haraka basi chama kitasambaratika

    Lissu yuko wapi sasa hivi,jibu swali halafu tuendelee
  7. Ahead

    PostGE2025 Hii video iliyowekwa na Spika mstaafu Dr. Tulia Instagram ina maana gani?

    Kwamba anafunika ukweli akidhani hajaonekana kumbe kaonekan
  8. Ahead

    Kati ya Yohana na Mathayo yupi iko sahihi katika hili licha ya kuwa wote walishushiwa ufunuo wa "roho mtakatifu"

    Kwanza umequote context mbili tofauti,hapo uliquote Yohana akiwaaambia watu huyu ndiye niliyewaambia ya kwamba anakuja....ilikuwa wakiwa wameshatoka rohoni wamevaa miili ya kibinadamu, lakini kwanini Yohana alituma wanafunzi wake kumuuliza Yesu je yeye au wamtazamie mwingine ilikuwa ni baada ya...
  9. Ahead

    Huenda Polepole ndiye kijana mTanzania wa hovyo zaidi na aliechafua zaidi taswira ya vijana katika utumishi wa umma tangu tupate uhuru

    Huo ni mtazamo wako mbona yupo sawa tu,kukemea mafisadi ni kupoteza mwelekeo,kutoa ushauri constractive ni kupoteza mwelekro how?
  10. Ahead

    Kuku wangu wamepatwa na nini?

    Muda mwingine magonjwa ya mlipuko hasa yatokanayo na virusi huua kwa ghafla hasa kama huchanji mara kwa mara
  11. Ahead

    Kuku wangu wamepatwa na nini?

    Wanafugwa ndani au nje?
  12. Ahead

    Nahitaji nifungue kanisa

    Wengi wenu mnaleta mzaha au mnamtazamo hasi kuhusu kanisa kwasababu hamjui mwanzilishi wa kanisa ni nani,pia kuweni specific makanisa mnayotaka kuanzisha ni yapi maana kanisa la Mungu huanzishwa na Mungu mwenyewe na kanisa la shetani analolianzisha shetani,basi kuweni makini maana ukiletea mzaha...
  13. Ahead

    Ukiwa kijana pesa yako iende kwenye haya mambo. Utatoboa tuu! Kamwe Usihonge wanawake!

    Yaani ujaze mavitu yote hayo kwenye friji na bado ubakiwe na hela ya kuwekeza?apendae mafuta na mvinyo hatakuwa tajiri.
Back
Top Bottom