Ndio ila yeye mwenyewe ndio aliutoa uhai,na akaurudisha(akafufuka).
Soma hapa;
Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.
Yohana 10:17
kumbuka pasipo damu hakuna ondoleo la dhambi, hivyo Mungu mwenyewe ilibidi ashuke kuimwaga damu(kufa msalabani)ili mwanadamu...
Yaani pamoja na maelezo hayo na ushahidi wote bado una kaza fuvu, kweli sikio la kufa halisikii dawa, kwa taarifa yako huyo uliyemtaja ni mwigizaji aliyeigiza maisha ya Yesu sisi wajinga kiasi hicho kama unavyodhani.
Pole kwa majanga,umalaya ni tabia mimi pia nimeoa mjita na mimi sio mzaliwa wa huko,lakini sijawahi fumaniwa kwa kuona wala kuhadithiwa juu ya tabia za kimalaya na mengine uliyosema, nadhani binadamu husimulia yaliyo kwenye upeo wa macho yake kama karma ilikutakia mke wa aina hiyo hata ungeoa...
Sio kweli walikuwa wanalalamikia mgombea wao Lowassa kuenguliwa na sio walimkataa magufuli, kwasababu magufuli alikuwa hajateuliwa au kupigiwa kura za kuwa mgombea wa ccm
Amemtandika sawasawa kwa kipimo gani,hivi Kuna loss kubwa Kam kupoteza rais wa nchi kwenye ardhi yako na viongozi waandamizi wote wa jeshi hawapo mpaka sasa utasemaje Israeli ametandikwa sawasawa hakuna hata mkuu wa kikosi wa jeshi aliyeuawa tangu vita uanze!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.