No wonder mnaambiwa ubingwa wenu unamakandokando yaani unamdoubt mtu mwenye consistent miaka tano caf wakati wewe miaka 25 hujui kuingia makundi club bingwa ya caf maana yake nini.
Ni Tanzania pekee timu iliyo nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi na ya tano afrika inaitwa timu dhaifu na ndio timu pekee inayoshikilia kombe rasmi (ngao ya jamii) kwa msimu husika ila inaitwa dhaifu hayo ni maajabu!
Mpaka sasa uzi una saa zaidi ya nne na mtu ameandika vitu kinyume na maadili yetu hususani kumwingilia binadamu mwenzake kinyume na maumbile halafu ma moderators wanauangalia tu,sema nini kuna roho shetani anaipandika kupitia JamiiForums ndio maana ndoa inachukiwa sana humu,wale wacha Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.