Recent content by Agustini john

  1. A

    Kwa fani ya umeme, utawezaje kufanya biashara?

    Asante kwa ushauri zenu nita zifa nyia kazi
  2. A

    Unatoka zako job unakuta hivi

    Nita wapongeza na zawadi juu nawaongezea kopo nyengine za rangi kwa sababu wana ujuzi wa hali ya juu
  3. A

    Wewe ni nani?

    why and why is not tr
  4. A

    Habari anaye juwa kufuta maandishi kwenye tisheti iliyo pritiwa

    Msaada jinsi ya kufuta maandishi kwenye tisheti iliyo pritiwa inafutwaje naomba msaada wenu
  5. A

    Habari wakuu anaejua jinsi ya kutengeneza antena ya Dikoda anijuze

    Anaejuwa kutengeneza antena ya dikoda anijuze
  6. A

    Mchinjaji wa ISIS, Mohammed Emwazi aliwahi kuja Tanzania na kushtukiwa na Vyombo vya Usalama

    Jamani kuna swali lina nichanganya hawa watu isis wanafunikaga nyuso(uso) zao wamejuaje ndoo yeye???
  7. A

    Kwa fani ya umeme, utawezaje kufanya biashara?

    Kama ukisomea mambo ya umeme utawezaje kufanya biashara? Na kama ukifanya biashara utaweza kufanikiwa? Naombeni mawazo yenu.
  8. A

    Nahitaji kufundishwa namna ya Kutengeneza Batiki na Mishumaa

    Wakuu anayejua kutengeneza batiki or mshumaa, unahitajika uanze na mtaji wa shilingi ngapi? Nataka nianze biashara hiyo, naomba ushauri wenu!
  9. A

    Naomba wazo la biashara ninalo weza kufanya

    Mtaji upo lakini sijuwi jinsi ya kuanza biashara
  10. A

    Naomba wazo la biashara ninalo weza kufanya

    Naombe mawazo yenu jinsi ya kutengeneza busines plan nianzaje na biashara gani nitayo weza.
Back
Top Bottom