Agustini john
Member
- Aug 9, 2014
- 29
- 3
Wakuu anayejua kutengeneza batiki or mshumaa, unahitajika uanze na mtaji wa shilingi ngapi? Nataka nianze biashara hiyo, naomba ushauri wenu!
Wakuu anaye juwa kutengeneza batiki or mshumaa unaitajika uanze na mtaji wa shii ngapi nataka nianze biashara iyo naomb ushauri wenu
Unapatikana mkoa gani?? Kwa mshumaa naweza kukusaidia
Wakuu anaye juwa kutengeneza batiki or mshumaa unaitajika uanze na mtaji wa shii ngapi nataka nianze biashara iyo naomb ushauri wenu
Unapatikana mkoa gani?? Kwa mshumaa naweza kukusaidia
Sasa unaweza jua unapoweza pata hizi chemical
Petrolium wax ???
Bee wax ??
Stearic acid ????
Nasubiri jibu lako then we to second lever of learning
Sasa unaweza jua unapoweza pata hizi chemical
Petrolium wax ???
Bee wax ??
Stearic acid ????
Nasubiri jibu lako then we to second lever of learning
Hata mimi natafuta hizo materials, nipo Dar...
Jamani Nipo Dar nami nataka kujua iyo business nifanyaje???
baada ya hapo
Wakuu anayejua kutengeneza batiki or mshumaa, unahitajika uanze na mtaji wa shilingi ngapi? Nataka nianze biashara hiyo, naomba ushauri wenu!