Recent content by Agreycharles

  1. A

    JamiiForums Tanzania Miili ya vijana wanne waliouawa yaokotwa barabara ya Mapinga kuelekea Kibaha

    Bora niko zangu zimbabwe nakula zangu skanka uku nikizichanga dollar iyo nchi ya kihananga Viongoz makatili si iwez
  2. A

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reform no collection
  3. A

    JamiiForums Tanzania Safari ya Dar es Salaam kwenda Kampala

    Ndio unapata fresh kabisa
  4. A

    JamiiForums Tanzania Safari ya Dar es Salaam kwenda Kampala

    Panda Bus ya classic ni moja kwa moja kutoka dar mpka kampala na ofisi ya Classic ipo karibu na soko la kisenyi Uganda naUli Tsh130000 tu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Arsis naomba msaada wako mkuu Mimi ni mzaliwa wa bombo hospital nimekulia tanga usagara mabangi kingstone kama unapafahamu niko na mdogo wangu anaenifatia badala yangu alipata ajali ya pikipiki alipelekwa muhimbili kwa uwezo Mwenyezimungu alimbariki akapona lakini shida inakuja kauli hana kama...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Nyinyi wezangu mkitenda dhambi huwa hamuadhibiwi? Video za Balthazar zimefanya niadhibiwe usiku kucha

    Aisee mi moja wapo aisee nikitazama xxx moyo wangu unaumia Naumia najihis kuwa mkosefu sana Mwwnyezimung anisimamie
  7. A

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Arsis dr tulia alikusoma humu nini akakuchek akakuelezea shida zake ukaenda msaidia si ndio ivo
  8. A

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Simba alafu kama nakujua Mimi ni mzaliwa wa tanga nimekulia usagara madrasa nimesoma kwa ustadhat bi mwalimbuzi sijui unamfahamu..?
  9. A

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Arsis uyo ibilisi Alie kataa kumsujudia Adam na akalaniwa na mwenyezimungu..kwanini alaaniwe wakati adamu walikuwepo ebu nifafanulie kitukuu chako najifunz bado
  10. A

    JamiiForums Tanzania Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

    Mkuu naomba unisaidie ndoto yangu hii Mimi nimeota natapika na nikaja kuota viatu vyangu vimekatika nikanunua viatu vingine Ina maana Gani hii
  11. A

    JamiiForums Tanzania Waziri Mbarawa: Tutajenga barabara ya njia 4, Dar-Moro, ili upite lazima ulipie

    Mzee apo amemaanisha kwamba kila gari itayo pita kwenye hizo barabara italipia na hiyo hela yote atachukua uyo mwekezaji atae tengeneza hio barabara iwe miaka kumi ata mia ni sawa
  12. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta bus bora

    Panda CLASSIC dar Kampala hakika utaenjoy
  13. A

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini na hivi vitu addiction zake mpaka utoweke duniani ndio zinakuacha

    Sigara ni kuamua uvute au uache Kama ilivyo punyeto tu
Back
Top Bottom