Recent content by Agrey998

  1. Agrey998

    Nimempiga mfanyakazi mwenzangu baada ya kula mbele yangu na akijua mie nimefunga

    Kama ulishindwa Kuvumilia mpaka akamaliza ulishindwa nini kutoka nje kidogo akala akamaliza ukarudi ndani kwahio kama umefunga wewe wengine ndio wasile. itoshe kusema we ni fala wa mwisho
  2. Agrey998

    Kujenga nyumba ya biashara mkoa ni upotevu wa pesa

    Niliwahi kulala Lodge kali pale Mbinga nikalipa 10k ambapo kwa Dar au arusha ningelipa 30k
  3. Agrey998

    Wiki tatu nyuma Ksh dhidi ya Tsh ilikuwa 16.3, Leo 21.1. Wachumi wa Tanzania mnatusaidiaje?

    Ina maana kaka tuulize sidi tunafanya biashara na nchi jirani
  4. Agrey998

    Biashara ya kuuza unga wa mahindi uliosagwa kutoka mikoani na kuleta Dar

    Itakulipa sana ukitafuta sehemu hapo dar kuna store nyingi zimegeuzwa magofu tafuta moja hata Tandika au Gomz tafuta mashine nunua mahindi kwa wakulima bei rahisi hata Morogoro au rufiji saga mwenyewe ongeza virutubisho print mifuko uza unga wako
  5. Agrey998

    Kwanini Makampuni Makubwa ya Gas na Madini hayapo soko la Hisa DSE tofauti na Ulaya

    Ilikuwepo moja swala energies lakini imekuwa liquidated
  6. Agrey998

    Jinsi ya Kuongeza Mauzo Haraka kwenye Kituo cha Mafuta (Petrol Station/Fuel Station/Service Station)

    Hapo kwenye uhusiano na Madereva ongezea pia building network na jamii ya pale haswa matajiri nenda kwenye mikusanyiko sherehe, harusi , misiba na vikao salimia watu jitambulishe nini unafanya . pita bar angalia meza ina matajiri ita muhudumu awapige bia mbili mbili af muhudumu awaambie zimetoka...
  7. Agrey998

    Mambo ya kuzingatia utapoamua kujiunga na Wahuni au genge la Wanywa Damu za Watu

    Hapa umewapa wadau mafia code kali sana ila point ya pili ni muhimu sana ya usiri, Italian mafia wana kitu inaitwa Ormeta au code of silence yan kuropoka n kujinunulia ticket ya kifo mapema sana
  8. Agrey998

    Watu 7 wapata upofu kwa kutofuta Ushauri wa Kitabibu wakati wa kutibu Red Eyes

    Wamekutana na madaktari wa Twitter hao kina Mfalme
  9. Agrey998

    Wamasai kuweni makini Zanzibar, mmewekewa chambo mnavutwa mnavutika tu bila kujitambua

    Na kweli wasipoangalia hii chambo watajikuta Msomera na wenzao wa Ngorongoro
  10. Agrey998

    Wanaume kulala chumba kimoja na uwezekano wa kupitiwa na shetani

    Usizunguke bwana we una hisia za kishoga ndio maana unapataje hisia kwa mwanaume mwenzio bwana
  11. Agrey998

    Je, Kuna Taasisi ya ovyo Kabisa Nchini Kuizidi TANESCO?

    Nadhani hujawahi kutana na maswaibu ya Polisi wetu kaka, Tanesco wana Nafuu kubwa sana
Back
Top Bottom