Recent content by Agrey998

  1. Agrey998

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni harufu ya kawaida au matatizo mengi siku hizi

    Yan watu wana miradi ya ujenzi ,kilimo au kufuga wewe unafungua mradi wa kutandika papuchi kweli kila binadamu na akili zake
  2. Agrey998

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Ali Kawaida, aachia comments kujadili suala la Humphrey Polepole

    Kwan huyu pumbavu anamwakilisha kijana gani
  3. Agrey998

    JamiiForums Tanzania 'The Greater Israel' inakuja ,hizi ni rasharasha

    Wayahudi wa Bulyanhulu mna shida sana na uzuri ni kwamba wayahudi wenyewe wanawachukulia kama mapimbi tu nyie endeleeni kuwashobokea
  4. Agrey998

    JamiiForums Tanzania John Krasinski ndiye 'mwanaume mwenye mvuto zaidi aliye hai' kwa mwaka 2024

    Yeah kabisa mkuu
  5. Agrey998

    JamiiForums Tanzania John Krasinski ndiye 'mwanaume mwenye mvuto zaidi aliye hai' kwa mwaka 2024

    Kwenye Covenant sio yeye , huyu jamaa kacheza Jack ryan na 13 soldiers in Benghazi
  6. Agrey998

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

    Nilichoma kitita cha shilingi elfu kumi na mbili kutuma nauli na hakuja
  7. Agrey998

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Cameroon yapiga marufuku watu kuuliza Afya na alipo Rais Paul Biya

    Ukiona wanapiga marufuku taarifa zake ujue aidha ni mwendazake au yuko katika hatua za mwisho za afya yake
  8. Agrey998

    JamiiForums Tanzania Movie za mafunzo zenye maudhui ya Kikristo

    Hacksaw Ridge
  9. Agrey998

    JamiiForums Tanzania Sidhani kama Waafrika tutaendelea na kufanikiwa kama Wazungu, Wahindi, Wachina, Waarabu, nk

    Acha kufanya biashara kizamani , Tafuta business consultant ambae ni auditor pia akuchoree control systems nzuri za kampuni yako kuanzia assets , revenue na expenses aweke mifumo ambayo inasomana na watu wanaoisimamia hata ukiwa dar unaona nini kinaendelea kwenye kampuni yako hakikisha una...
  10. Agrey998

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

    Makosa yalishafanyika sasa kuendelea kumkimbia ni kumuonyesha tu kwamba hata wewe ulikuwa unajua kaolewa na ukaamua kumfanya mke wake
  11. Agrey998

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

    Mpigie simu jamaa mwambie ukweli sisi ni wanaume unavyoendelea kumkimbia siku atakuja kukunasa atakufanya mbaya . we mchane ulikuwa hujui kama dem kaolewa na hajakwambia tena ili aone upo serious tafuta watu wazima wawili nenda kaongee nae msuluhishe kwa amani . maisha ya kuwindana sio poa
  12. Agrey998

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

    Jiandae kwa kilio kikubwa zaidi na usisahau kuna wakati mzigo ulichomoka akaushika akaurudishia. wanaume hautuendeleagi na mwanamke aliekusaliti hata angekuja papa wa roma kukushauri jambo jema kwako ilikuwa kuachana nae
  13. Agrey998

    JamiiForums Tanzania Mwenye nguvu mpishe: Watu wa makundi haya hawagusiki kirahisi, wana nguvu kubwa sio wa kugombana nao utazama kwenye kina kirefu

    Ukipata fursa ya Kumlalia muhindi au mwarabu usiiache bro maana wao wananyanyasa sana watu wetu
  14. Agrey998

    JamiiForums Tanzania Leo akifufuka Ndugu Ally Mohammed Kibao, atakihama CHADEMA: Mnyika amechagua kikao badala aende akatoe maelezo Polisi ya kiuchunguzi

    Kama tuna watu wana akili za kijinga namna hii basi kupiga hatua itatuchukua Karne nyingi sana
  15. Agrey998

    JamiiForums Tanzania Leo akifufuka Ndugu Ally Mohammed Kibao, atakihama CHADEMA: Mnyika amechagua kikao badala aende akatoe maelezo Polisi ya kiuchunguzi

    Mnyika anaitwa kutoa maelezo ya namna gani wakati hakuwepo kwenye tukio?? yan wasiitwe mashahidi waliokuwepo kweny tukio alafu anaitwa mnyika . una akili kweli
Back
Top Bottom