Kama ulishindwa Kuvumilia mpaka akamaliza ulishindwa nini kutoka nje kidogo akala akamaliza ukarudi ndani kwahio kama umefunga wewe wengine ndio wasile. itoshe kusema we ni fala wa mwisho
Itakulipa sana ukitafuta sehemu hapo dar kuna store nyingi zimegeuzwa magofu tafuta moja hata Tandika au Gomz tafuta mashine nunua mahindi kwa wakulima bei rahisi hata Morogoro au rufiji saga mwenyewe ongeza virutubisho print mifuko uza unga wako
Hapo kwenye uhusiano na Madereva ongezea pia building network na jamii ya pale haswa matajiri nenda kwenye mikusanyiko sherehe, harusi , misiba na vikao salimia watu jitambulishe nini unafanya . pita bar angalia meza ina matajiri ita muhudumu awapige bia mbili mbili af muhudumu awaambie zimetoka...
Hapa umewapa wadau mafia code kali sana ila point ya pili ni muhimu sana ya usiri, Italian mafia wana kitu inaitwa Ormeta au code of silence yan kuropoka n kujinunulia ticket ya kifo mapema sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.