Recent content by agatthi

  1. agatthi

    JamiiForums Tanzania GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

    Sawa Poti.
  2. agatthi

    JamiiForums Tanzania GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

    Taarifa za kutengenezwa na polisi. Uharamia ni mwingi.
  3. agatthi

    JamiiForums Tanzania GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

    Mwanafunzi aliyeuwawa alikua ndani ya nyumba kalala kwa hofu. Yule kijana wa kiume aliyeuwawa alikua "mchoma nyimbo kwenye kompyuta". Unajua maisha ya usukumani, jana ilikua siku ya mnada hapa Lulembela. Binafsi, nimepoteza ng'ombe wangu. Baa zilifungwa, mnada ulivurugwa. Nasikia hata std 7...
  4. agatthi

    JamiiForums Tanzania Nimelima nyanya heka 1 nimepata faida ya Tsh. Milioni 9 ndani ya miezi minne

    Upo Geita IPI Busanda? Butundwe? Ilolangulu? Buzirayombo? ama Bugando?
  5. agatthi

    JamiiForums Tanzania Kwanini kampuni ya Maboto haina Application Number ya mkopo katika mfumo wa ESS

    F ya Basic Math ya 4m4 bado unatembea nayo ktk maisha yako yote. Soma, tafuta wasadi wakusaidie. Uache kupayuka. 40% p.a na 17% p.a. kuna tofauti kubwa. Huoni ratio 2:1? Yaani hiyo 17M uliyochukua Bank ukaambiwa urudishe 25M.. ingekua hizo taasis zako ungeambiwa urejeshe 50M. Muda(miaka)...
  6. agatthi

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Singida Iramba, aje Geita TC & DC, Mbogwe, Bukombe au Chato au Sengerema. Elimu Msingi.
  7. agatthi

    JamiiForums Tanzania Case Study: Utekelezaji wa Biashara ya Kilimo cha Matunda Endelevu huko Mwanza, Tanzania

    Ni boga. Ni jamii ya mbogamboga. Halina sifa za kuitwa tunda, jamii ya matunda inahitaji uwe na makazi ya kudumu. (Hii lugha huwezi elewa).
  8. agatthi

    JamiiForums Tanzania Operesheni 255 yaendelea kutikisa Geita Vijijini, Dkt. Musukuma akalia kuti kavu

    Hivi unajua kura za Geita vijijini zipo kata gani? NINAKUPUUZA.
  9. agatthi

    JamiiForums Tanzania Operesheni 255 yaendelea kutikisa Geita Vijijini, Dkt. Musukuma akalia kuti kavu

    Piga kelele! Lia. Msukuma ni mbunge pendwa kwa Mkoa wa Geita. Akiamua kugombea Chato, Busanda au Mbogwe anashinda tu. Biteko pia ni mbunge pendwa kwa mkoa. Msukuma anabadili magari ya kutembelea (pesa anayo). Lakini kavijali vituo vyake vya afya (kavipatia vyombo vya usafiri). Unajua...
  10. agatthi

    JamiiForums Tanzania Huyu askari kwa sasa anasota rupango

    Acha anyee ndoo.
  11. agatthi

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kesho Arusha, Tanga j5 asee.
  12. agatthi

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Niko jikoni Shy, nakula vitu OG.[emoji1][emoji1] Katamu sana
  13. agatthi

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Hanson's Choice [emoji4] Kadude katamu sana
Back
Top Bottom