Recent content by agatthi

  1. agatthi

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Singida Iramba, aje Geita TC & DC, Mbogwe, Bukombe au Chato au Sengerema. Elimu Msingi.
  2. agatthi

    Case Study: Utekelezaji wa Biashara ya Kilimo cha Matunda Endelevu huko Mwanza, Tanzania

    Ni boga. Ni jamii ya mbogamboga. Halina sifa za kuitwa tunda, jamii ya matunda inahitaji uwe na makazi ya kudumu. (Hii lugha huwezi elewa).
  3. agatthi

    Operesheni 255 yaendelea kutikisa Geita Vijijini, Dkt. Musukuma akalia kuti kavu

    Hivi unajua kura za Geita vijijini zipo kata gani? NINAKUPUUZA.
  4. agatthi

    Operesheni 255 yaendelea kutikisa Geita Vijijini, Dkt. Musukuma akalia kuti kavu

    Piga kelele! Lia. Msukuma ni mbunge pendwa kwa Mkoa wa Geita. Akiamua kugombea Chato, Busanda au Mbogwe anashinda tu. Biteko pia ni mbunge pendwa kwa mkoa. Msukuma anabadili magari ya kutembelea (pesa anayo). Lakini kavijali vituo vyake vya afya (kavipatia vyombo vya usafiri). Unajua...
  5. agatthi

    Huyu askari kwa sasa anasota rupango

    Acha anyee ndoo.
  6. agatthi

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kesho Arusha, Tanga j5 asee.
  7. agatthi

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Niko jikoni Shy, nakula vitu OG.[emoji1][emoji1] Katamu sana
  8. agatthi

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Hanson's Choice [emoji4] Kadude katamu sana
  9. agatthi

    Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

    Mtazamo wako [emoji2297]. Sina maana hiyo.
  10. agatthi

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    7⁷ Kodi imelipwa.
  11. agatthi

    Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

    Ongea na mkuu wako wa kitengo cha rasilimali watu.
  12. agatthi

    Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

    Serikali kuingilia kati? Benki zinafanya biashara. Kuna mikopo ya hazina (haina riba). Kuna mikopo fulani una riba ya 6% . Siyo lazima ukope.
  13. agatthi

    Jinsi mabenki yanavyowaibia watumishi wa umma kupitia mikopo

    Afanye kwa afya yake. Hii ya 0.33 siyo nzuri kiafya. Napendekeza ubakiwe 0.5, time frame iwe fupi. Kama unadumbukiza kwenye biashara, utakimbiza sana.
Back
Top Bottom