Recent content by agapetc

  1. A

    UJUMBE wa SMS wa Lema kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha

    hii nchi imewashinda kuongoza hawa ndugu zeu wa kijani.lema hayo maneno yana akili
  2. A

    CHADEMA, mafisadi waichanganya CCM;Kasi ya CHADEMA kisiasa mwiba, vijisenti vya mafisadi vurugu tupu

    tatizo sio watu ktk ccm ila ni system,hata akiingia yeyote hali ileile tu
  3. A

    nini tofauti kati ya Mkoba na Ulimboka ??

    majina pia ni tofauti
  4. A

    Chaguzi ndogo ni mwiba Mtibwa

    kulikoni kwani?
  5. A

    Hukumu Kesi ya Mgomo wa Walimu: Mgomo ni batili

    Haki anatoa MUNGU PEKE YAKE
  6. A

    Mrisho Gambo: DC wa Korogwe na kampeni ya kufundisha

    nimependa ushaurii wako
  7. A

    Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    Hayawi hayawi sasa yamekuwa, walimu wa Halmashauri za Mji na Wilaya ya Korogwe wamegoma kwenda shule kwa kuunga mkono viongozi wao walioutangaza. Shule nyingi zimeonekana walimu wakuu na wakuu wa shule tu ndiyo waliohudhuria maofisini, pia imebainika kuwa walimu wa sekondari wanaongoza kwa...
  8. A

    Mukoba: Mgomo wa walimu ni halali na umeanza leo hii!

    wanajeshi kama kawa
  9. A

    Waziri wa Nishati na Madini ajiwekea kitanzi shingoni...

    unadhani kwa system ya nchi yetu anaweza akafurukuta?isije ikawa ni kama kijiko cha sukari baharini
  10. A

    Maige aichana serikali ya JK

    walewale tu hana jipya
  11. A

    Waziri wa Nishati na Madini ajiwekea kitanzi shingoni...

    kutokana na kauli yake bungeni kuwa kukatika kwa umeme itakuwa ni historia katika nchi hii wale mafisadi walioshika mpini wanajipanga kuhakikisha mgao unakuwepo ili kauli yake imfunge.
  12. A

    Prof. Muhongo ammaliza rasmi Mhando; Mama Rwakatare naye alipuliwa!

    Waziri huyu anaonekana jasiri na anaye hitaji ushirikiano wa dhati ili tufikie malengo.mtu wa namna hii anapaswa kupewa ushirikiano na kupongezwa.kuhusu Rwakatare hapa naona kuna aibu kubwa.
Back
Top Bottom