Hayawi hayawi sasa yamekuwa, walimu wa Halmashauri za Mji na Wilaya ya Korogwe wamegoma kwenda shule kwa kuunga mkono viongozi wao walioutangaza.
Shule nyingi zimeonekana walimu wakuu na wakuu wa shule tu ndiyo waliohudhuria maofisini, pia imebainika kuwa walimu wa sekondari wanaongoza kwa...
kutokana na kauli yake bungeni kuwa kukatika kwa umeme itakuwa ni historia katika nchi hii wale mafisadi walioshika mpini wanajipanga kuhakikisha mgao unakuwepo ili kauli yake imfunge.
Waziri huyu anaonekana jasiri na anaye hitaji ushirikiano wa dhati ili tufikie malengo.mtu wa namna hii anapaswa kupewa ushirikiano na kupongezwa.kuhusu Rwakatare hapa naona kuna aibu kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.