mtendaji wa kijiji
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 533
- 114
- Thread starter
- #21
Wabunge wa ccm. Haiwezekani hawa wenzetu kushabikia mgomo hivi. Lazima wao ndo wame organize. Waalimu tuwapuuze hao. Ccm oyeee. Wabunge ccm vigelegele bungeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi mgomo nilianza siku nyingi sema kesho nauendeleza tu mana toka nianze january hata topic mbili hazijafika.
Walimu wakigoma tunawachapa bakora tu. Tumewaweza madaktari itakuwa walimu?. Na pia tunaweza kuwafukuza kazi na watakuwa hawana pa kwenda. Vyeti vyao hata Malawi havitambuliki acha kenya. Nyie walimu acheni kufuata mkumbo, fanyeni kazi huku madai yenu yanashughulikiwa na Serikali.
Walimu hamna umoja wenzenu wanaomba muendelee kugoma ili wao waitwe kazini.
Kama kweli wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wanajali maslah na wapo kwaajili ya kutetea haki za wananchi wao. Tunaomba jumatatu 30/07/2012. SPIKA Asimamishe shughuli zote Na kujadili swala la mgomo wa waalimu. Aidha hatutarajii kusikia majibu ya kipumbavu kutoka kwa Spika wala Lukuvi wala Werema kudai kuwa Swala hili lipo mahakamani. Kimsingi swala ambalo limesha anza kusikilizwa mahakamani ndo halitakiwi kuzungumziwa. Hili la waalimu bado halijaanza kusikilizwa kwani juzi ijumaa mahakama ilitaka pande zote mbili zikapange hoja zake vizuri ili jumanne zipokelewe mahakamani. Leo ni jumatatu, kesho juma4 hoja za pande mbili ndo zitapelekwa mahakamani. Tunaomba bunge litimize wajibu wa kuisimamia serikali. Hoja hii ikikataliwa tunategemea kuwaona wabunge wa vyama vyote wakitoka Bungeni ili kutoa msimamo wao nje ya Bunge. Mama ana Makinda jiandae kususiwa Bunge kama huna utu na kama huna watoto wanaoathirika na mgomo huu
Hili suala liko mahakamani na halite jadiliwa, full stop !
Itabidi Bunge letu lisiwe na ratiba ya mikutano yake ili liwe linakaa kila siku kujadili mambo yanayotokea siku hyo.
kaka hapo umenena maana ndugai na makinda wake wanatumika na serikali kupiga chini uozo wao...Si wamuulize awatajie ni kesi namba ngapi na inasikilizwa na hakimu gani na iko hatua gani,
halafu wanamlea huyo ndugai,
sisi wananchi hatukuwachagua wabunge kutuwakilisha halafu wawe wadogo mbele ya ndugai. Akikwambia kaa chini mwambie sikai chini, bunge si jeshi, kama vipi tualikeni kupitia hilohilo bunge, semeni hiviii "wananchi njooni tujazane mjengoni ndio hoja zenu zitasikilizwa" uone mwitikio na upuuzi wa ndugai na makinda utaishia hapo.