Recent content by AGAPE BOY

  1. AGAPE BOY

    Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

    Na siku zote kama ukiingia na wazo la kupinga kamwe huwezi jifunzaa Okay elimu yako imekuambia 1. Binadamu anatokana na nini? 2. Kwa nini hadi leo wameshindwa kutengeneza uhai kwa viumbe hai vyote? 3. Nini kipo nyuma ya majini, pepo, uchawi na ushirikina. Au ni elimu ipi mliyoipata hadi mka...
  2. AGAPE BOY

    Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

    Uliona kura zimeibwa? Au viongozi wa dini waliona kura zikiwa zinaibwa? Shida yetu vijana tunaishi kwa kuamini tunachokiona mitandaoni wakati hamjui behind the scene kuna kipi kimepikwa!! Na huwezi kuniambia sababu ya elimu basi ndo tuseme Mungu hayupo "Never" Hiyo elimu tuliyonayo ni juu ya...
  3. AGAPE BOY

    Kwanini siku hizi vijana wengi mnamchukia Mungu, mmegombana nae?

    Kwangu mimi naamini uwepo wa Mungu, piga ua garagaza bado nitakwambia "God is Surely Alive" Kwa vile nilivyovishuhudia hadi kufika hapa na experience yangu ya maisha ya kiroho na kijamii kwa ujumla siwezi kukataa uwepo wake. Mungu anaishi. Though kwa dunia ya sasa tunakutana na mafundisho...
  4. AGAPE BOY

    Kuhusu aina hii ya post FB

    Wakuu sidhani kama niko nje sana ya maudhui ya hapa!! Nimekuwa nikivutiwa sana na aina hii ya posts huko Facebook, unakuta picha ndo iko juu halafu caption ipo chini!! Nimejaribu kutafuta sehemu mbalimbali kuuliza utaalamu huu lakini sijawahi kupata majibu, nimejalibu hata kuwauliza wenye post...
  5. AGAPE BOY

    Zitto Kabwe: Mwaka 2016-2019, wakati wa utawala wa Hayati Magufuli, watanzania milioni nne waliingia katika kundi la umasikini mkali

    Mko kupambana na marehemu na bado anawagaragaza tu!! Apumzike kwa Amani, katufanya tujue maana ya uongozi ni nini!! Kwa sasa tuendeleeni kuramba asali huku tukipiga mapambio " Mama ana upiga mwingi"[emoji3525]
  6. AGAPE BOY

    Kilichonifanya niache kuamini kwenye dini

    Nilijua namuelezea mtu anaetaka kuelewa kumbe ni mtu ambae hataki kabisa kuelewa!! Anyway uchaguzi ni wako, umepewa huo uhuru tumika uwezavyo, dhihaki kadri uwezavyo, tukana uwezavyo, kufuru uwezavyo, tetea dhambi na uasi uwezavyo.. Lakini katu huwezi kumfanya Mungu anaeishi awe mfu, God is...
  7. AGAPE BOY

    Kilichonifanya niache kuamini kwenye dini

    Anaijua Mungu, lakini je wewe unaijua?? Halafu kuna kule kufa kwa mpango wa Mungu na kuna kufa kwa mpango wa shetani au binadamu ujue kutofautisha hivyo!!! Kama ukikaa na Mungu vizuri yeye atakulinda na vifo vya kabla ya wakati,, Ila kama hutakaa na Mungu hatima yako iko kwa huyo...
  8. AGAPE BOY

    Kilichonifanya niache kuamini kwenye dini

    Tatizo unataka nikujibu kama unavyotaka wewe!! Anyway kumbuka neno hili Nuru na Giza havichangamani, ukiruhisu nuru ikutawale basi nuru itayaangazia maisha yako,, ila ukiruhusu giza likutawale basi hilo hilo giza litakuwa maisha yako!! Anasema Ufunuo wa Yohana 3 20 Tazama, nasimama mlangoni...
  9. AGAPE BOY

    Kilichonifanya niache kuamini kwenye dini

    Kuhusu kuifahamu kesho yako ni pale utakapo mruhusu a control maisha yako, na kama ukimruhisu afanye hivyo ina maana umeamua kutumika kwenye kile ulichoumbiwa, na kile ulichoumbiwa ni yeye muumbaji ndo anakijua so anajua atakupitisha wapi na wapi hadi kuja kuufikia mwisho!! Ila kama ukitoka...
  10. AGAPE BOY

    Kilichonifanya niache kuamini kwenye dini

    Sitasemea dini ila mimi nitaisemea imani yangu,, Yeah ni kweli Mungu anatujua vzuri toka tukiwa tumboni mwa mama zetu maana yeye ndio yule alietuumba!! Kila uumbaji uliofanyika ulikuja na kusudi ndani yake namaanisha kila binadamu kaumbwa kwa kusudi la Mungu, (ndani yake kuna kitu cha kiMungu...
  11. AGAPE BOY

    Kuhusu Postgraduate Diploma in Education (PGDE)

    Hapa nilimaanisha vyuo vyote ambavyo viko chini ya NACTE
  12. AGAPE BOY

    Kuhusu Postgraduate Diploma in Education (PGDE)

    Si kila anaesoma masters anataka kupanda cheo mkuu,, wengine wako nje kabisaa ya mfumo lakini bado wanataka kusoma hadi PhD... Jaribu kufikili nje ya box
  13. AGAPE BOY

    Kuhusu Postgraduate Diploma in Education (PGDE)

    Tatizo hujui kutofautisha kati ya mkufunzi na mhadhili Hawa ni watu wawili tofauti kabisaa [emoji2][emoji2]
  14. AGAPE BOY

    Kuhusu Postgraduate Diploma in Education (PGDE)

    Mbiologia kitaaluma,,, na nimewaza hivyo kwa sababu Masters inahitaji pesa ndefu kidogo ukilinganisha na hii, so kwa kipindi ambacho naweza mudu hii nawaza labada niongeze hii then kama milango itafunguka huko mbele bas ntaongeza na masters,,,
  15. AGAPE BOY

    Kuhusu Postgraduate Diploma in Education (PGDE)

    Lakini pia kuna hii ya kuwa mkufunzi hasa vyuo vya kati naona kama hii course ina matter,, ukiachana na hizi ajira za walimu mashuleni hapo unashauri nini??
Back
Top Bottom