Recent content by Afrisoul

  1. Afrisoul

    Msaada jamani

    thanks..nimefanikiwaa
  2. Afrisoul

    Msaada jamani

    Najaribu kuapply chuo kupitia nacte but nikiingiza Reg. number ya diploma inaniandikia data base not found....plse naomba wenye kujua tatizo wanisaidie
  3. Afrisoul

    Wanafunzi wa Diploma mliodhulumiwa fedha zenu fungueni kesi mahakamani dhidi ya TCU

    okay nimekusoma mkuu fanya kunitumia contact zako dm tuyapange
  4. Afrisoul

    Wanafunzi wa Diploma mliodhulumiwa fedha zenu fungueni kesi mahakamani dhidi ya TCU

    sasa jamani tuungane basi ili mamlaka husika wapate ujumbe wetu kabla muda haujakwenda.....mie nipo dar pia wahanga wenzangu tufanye haraka
  5. Afrisoul

    TCU yatangaza alama mpya kwa mwanafunzi kuingia Chuo Kikuu

    mpango huu ni vema ungeanza kwa wanaomaliza mwakani kwani kwa kufanya ivo kutawafanya wajitahidi uko shuleni lakini kwa kuwahukumu watu wakati teari walishafanya mitihani ni kama kuwaonea.....mbona mabadiliko ya sheria za uchaguzi hufanywa kabla ya kupiga kula iweje mabadiliko ya mitaala...
  6. Afrisoul

    Ukweli juu ya NASA kutuma chombo mwezini

    hahahaaaa tunawabishia waliotengeneza ndege?
  7. Afrisoul

    Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

    Apo umenena mkuu watu wengi ni wanafki saana afu wanajifanya wameshika dini ndo maana sisi wngne wanatuweka njia panda kwanza hayo maarabu yana roho mby sana tangu enzi za utumwa halafu yanatuambia tuffuate dini
  8. Afrisoul

    Mapenzi yanauma jamani

    kunywa mkojo kisha unuie kumsahau
  9. Afrisoul

    Natafuta volunteer

    Habari wanajamii! Ninatafuta sehemu ya kufanya kazi kwa kujitolea nina diploma ya marketing mgt.
  10. Afrisoul

    Was Jesus Black?

    safi sana mkuu....mi pia nafsi yangu huwa inakinzana kufuata imani za dini kwakua bado cjajiridhisha na facts nazopewa kutoka kwnye dini hizi
  11. Afrisoul

    Was Jesus Black?

    jamani nimeguswa na thread hii.....ata mimi nasumbuliwa sana juu ya imani hizi kwani nafsi yangu inapata shida kuamini kuhusu hizi dini pia naomba mwongozo juu ya uislamu ili nijue hatma ya imani yangu
Back
Top Bottom