Recent content by Afrika Yote

  1. Afrika Yote

    FAMM (AMTL) Co. walivyopeleka msaada wa kujikinga na Corona kwa Watoto wa Huruma

    Habari za mida huu, mapambano ha Corona yanaendeleaje huko? Narudi kwenye point ya msingi hapa, nimekuja kugundua kuwa watu wengi wenye uwezo kidogo wa kujipatia mahitaji ya kila siku basi kwa namna moja au nyingine ni rahisi sana kusahau kwamba kuna watu wenye uhitaji wapo sehemu hivyo huwa na...
  2. Afrika Yote

    Mazoezi ya FAMM (AMTL) Co. & Extreme Workout Boot Camp

    Mimi sina ya kuongeza sana hapa ili hii inaonekana inafaa sana. Nakuwekea video hii usikilize mwalimu huyu wa mazoezi akiongea kuhusu mazoezi anayoyafundisha. Huu mtiti unaonekana sio mdogo. Wanapatikana Maga Beach & Mwalimu anaitwa Shija. Angalia kuanza dakika ya 14 hadi ya 24
  3. Afrika Yote

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Habari wakuu, Humu JamiiForums kuna mada nyingi sana zinazowazungumzia Single Mothers kwa mitazamo tofauti tofauti na nyingine ni za muda mrefu sana huku mpya nazo zikiendelea kuja. Uzi huu utakuwa maalumu kwa mada zote bila kujali upande/mtazamo ambao mwanzisha mada alikukuwa (Hasi au...
  4. Afrika Yote

    Je, ni ipi nafasi ya wasanii wa kizazi kipya kumulika uhalisia wa jamii yetu?

    Mkuu umeandika vyema sana. Nadhani wasanii wa hapa Bongo wamesahau kama muziki wao unathamani, na hili si kwa watu walio kwenye muziki tu bali hata sanaa nyingine za hapa Bongo. Hawathamini kazi zao, wamekuwa ni watu wa kununuliwa tu na kujikomba kwa wanasiasa (Huwasia hao zaidi). Leo unamwona...
  5. Afrika Yote

    Mwanamke yupi sahihi kuaminika?

    Naam kupanga au kutopanga isikuumize kichwa. Kuna wanaokaa kwao na hawana tabia nzuri. Hivyo hivyo waliopanga. Sasa wewe fanya uchunguzi kwenye maswala mengine
  6. Afrika Yote

    Hodi humu ndani

    Asante sana.
  7. Afrika Yote

    Oyaa! Nimekuja kuwashika kinyamaa

    Guru Guja Umesema 'umekuja kutushika kinyama' pale juu kwenye title. Ni 'kinyama' gani unazungumzia hapo?
  8. Afrika Yote

    Hodi humu ndani

    Salam Wana JF, Naombeni mnipokee maana nimejiunga rasmi, nimechoka kuwa 'Mpenzi Mtazamaji'. Natanguliza shukrani zangu za dhati
Back
Top Bottom