Hasa hii ndio hoja ya profesa Assad , kweli ni mambo madogo hapo yanayoongelewa asilimia kubwa ni wabunge kulalamika ,bila kujadili kwa kina
Labda waongeze viwango vya kuwa mbunge na mtu awe na background ya vitu muhimu na wafanyiwe interview ya chama na tume😊
alipata kupinga mahakamani na mahakama ikasema anahoja za msingi ,ila alienunua aendelee kuendeleza ,kama kuna madai yatafunguliwa na bank,kuna mdau kaelezea ,pia mkopo alidhamini sio kwamba alikopa yeye.
Na oilcom si walikuwa na mgogoro na Oryx energies ,kuna mdau huko mtandaoni kasema labda usuluhishi wa mgogoro umepelekea hii
https://www.jamiiforums.com/threads/mvutano-wa-kisheria-kati-ya-oilcom-tanzania-na-oryx-energies-wafichua-changamoto-katika-mfumo-wa-usuluhishi-tanzania.2279514/
kwamimi naona hakuna ukweli,ingekuwa iran inataka kuwahadaa israel basi isingemuonesha hadharani kabisa ,ukizingatia ni kiongozi mkubwa iran
pia picha ingekuwa viral mitandao ya kimataifa nnje ya facebook ambapo ndio imesambaa
Issue sio dini,
Wote tuna abudu Mungu, Sasa ikipigwa nyimbo ya kikristo au ikipigwa hadithi za Quran sio issue ilinradi zinatoa mafunzo
Tubapishana padogo tu
Kuna jamaa alinisanua series moja Al Jazeera ya
THE GOLD MAFIA ,
Jinsi ya Zimbabwe diplomats wanavotakatisha pesa ,ila haisiani na huyo
The laundry machine ,Gold smagling series
Cheki YouTube
Hilo kosa wengi linawakumba,hata Mimi nilishawahi fanya makosa Fulani
Usikope zaidi ya 4 yrs , kopa 2 yrs -4 yrs kama huna sababu ya msingi acha
Alternative km mkopo wa mda basi makato yawe 30% ya mshahara wako
Ikizidi hapo danger zote
kuna DMO anakanyaga range evoque ,pia sio kila anaeendesha gari kali ni kutokana na kazi hio ,wengine kitambo kwao yapo ,wengine biashara zingine tofauti ukafikiri hio kazi ndio imempa hapana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.