Recent content by AfricaUnited

  1. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Dar gari mbili tu ya tajiri Fulani mmoja mbweni hizo. 15
  2. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Prof. Assad: Bunge linapaswa kuchambua Sera za nchi, siyo kuomba barabara Majimboni

    Hasa hii ndio hoja ya profesa Assad , kweli ni mambo madogo hapo yanayoongelewa asilimia kubwa ni wabunge kulalamika ,bila kujadili kwa kina Labda waongeze viwango vya kuwa mbunge na mtu awe na background ya vitu muhimu na wafanyiwe interview ya chama na tume😊
  3. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Rushwa yaifumua REA: Mwenyekiti wa Bodi ya Zabuni atoboa siri, ajiuzulu!

    Walimfukuza kazi , na rufaa kashindwa ,aise
  4. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Hii mbungi ya Monaban na Mojaa kuhusu shamba imenichekesha sana

    alipata kupinga mahakamani na mahakama ikasema anahoja za msingi ,ila alienunua aendelee kuendeleza ,kama kuna madai yatafunguliwa na bank,kuna mdau kaelezea ,pia mkopo alidhamini sio kwamba alikopa yeye.
  5. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kusafirisha petroleum Tanzania

    Ndio ubapari wenyewe Hi Uzi hakuna alieanza kuifanya?atuep mrejesho,
  6. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Amsons Group ya Tanzania inahusishwa kuinunua Oryx kwa Dola Milioni 250

    Na oilcom si walikuwa na mgogoro na Oryx energies ,kuna mdau huko mtandaoni kasema labda usuluhishi wa mgogoro umepelekea hii https://www.jamiiforums.com/threads/mvutano-wa-kisheria-kati-ya-oilcom-tanzania-na-oryx-energies-wafichua-changamoto-katika-mfumo-wa-usuluhishi-tanzania.2279514/
  7. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    unakopaje hela mbayo wewe mwenyewe kwenye mzunguko huna? may be uanze na kituo cha kukodisha
  8. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    hio ni salary ya fundi ofisi zingine ,Azidi kutembea kupata exposure .kama hio inamchanganya
  9. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Brigadier General Hassan Hassanzadeh aliyetangazwa kufariki aonekana hadharani akiwa kwenye bodaboda

    kwamimi naona hakuna ukweli,ingekuwa iran inataka kuwahadaa israel basi isingemuonesha hadharani kabisa ,ukizingatia ni kiongozi mkubwa iran pia picha ingekuwa viral mitandao ya kimataifa nnje ya facebook ambapo ndio imesambaa
  10. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    kwa asilimia 90% tunaabudu Mungu , ndio maana hata bungeni,shughuli za kiserikali tunataja Mungu, kwahiyo wengi wape
  11. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Issue sio dini, Wote tuna abudu Mungu, Sasa ikipigwa nyimbo ya kikristo au ikipigwa hadithi za Quran sio issue ilinradi zinatoa mafunzo Tubapishana padogo tu
  12. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: Kamanda wa Jeshi aungana na Wananchi dhidi ya Rais Mnangagwa; asema nchi sio ya wahalifu (kina Chivayo)

    https://youtu.be/evWEuVR1XIs?si=Sm8dGUvQdUgVsKAD
  13. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Shuhudieni Mambo Makubwa Mazuri ya Bonge wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo! Je, Hapa Kwetu Alifanya Nini?

    Kuna jamaa alinisanua series moja Al Jazeera ya THE GOLD MAFIA , Jinsi ya Zimbabwe diplomats wanavotakatisha pesa ,ila haisiani na huyo The laundry machine ,Gold smagling series Cheki YouTube
  14. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

    Hilo kosa wengi linawakumba,hata Mimi nilishawahi fanya makosa Fulani Usikope zaidi ya 4 yrs , kopa 2 yrs -4 yrs kama huna sababu ya msingi acha Alternative km mkopo wa mda basi makato yawe 30% ya mshahara wako Ikizidi hapo danger zote
  15. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

    kuna DMO anakanyaga range evoque ,pia sio kila anaeendesha gari kali ni kutokana na kazi hio ,wengine kitambo kwao yapo ,wengine biashara zingine tofauti ukafikiri hio kazi ndio imempa hapana
Back
Top Bottom