Na oilcom si walikuwa na mgogoro na Oryx energies ,kuna mdau huko mtandaoni kasema labda usuluhishi wa mgogoro umepelekea hii
https://www.jamiiforums.com/threads/mvutano-wa-kisheria-kati-ya-oilcom-tanzania-na-oryx-energies-wafichua-changamoto-katika-mfumo-wa-usuluhishi-tanzania.2279514/
kwamimi naona hakuna ukweli,ingekuwa iran inataka kuwahadaa israel basi isingemuonesha hadharani kabisa ,ukizingatia ni kiongozi mkubwa iran
pia picha ingekuwa viral mitandao ya kimataifa nnje ya facebook ambapo ndio imesambaa
Issue sio dini,
Wote tuna abudu Mungu, Sasa ikipigwa nyimbo ya kikristo au ikipigwa hadithi za Quran sio issue ilinradi zinatoa mafunzo
Tubapishana padogo tu
Kuna jamaa alinisanua series moja Al Jazeera ya
THE GOLD MAFIA ,
Jinsi ya Zimbabwe diplomats wanavotakatisha pesa ,ila haisiani na huyo
The laundry machine ,Gold smagling series
Cheki YouTube
Hilo kosa wengi linawakumba,hata Mimi nilishawahi fanya makosa Fulani
Usikope zaidi ya 4 yrs , kopa 2 yrs -4 yrs kama huna sababu ya msingi acha
Alternative km mkopo wa mda basi makato yawe 30% ya mshahara wako
Ikizidi hapo danger zote
kuna DMO anakanyaga range evoque ,pia sio kila anaeendesha gari kali ni kutokana na kazi hio ,wengine kitambo kwao yapo ,wengine biashara zingine tofauti ukafikiri hio kazi ndio imempa hapana
Nimesoma mimi ,bank imesema ulipwe ile mil 13 na any loss suffered na kutoa report of incident hapo ndio patamu,
Nani alienda kutoa hio ela kwenye account? inaezekana walifoji vitambulisho, hio ni criminal case ,bot wapewe ripoti walioomba kuhusu hio issue,
Tafuta wakili mzuri kuhusu banking...
Sasa ukifungua kesi Mahakamani washitaki na hicho kituo cha afya ,maana why walipe malipo kwenye account ambayo ujawapa?
wanalipaje kwenye hio account? waliipata wapi? nani alijua bank kwamba unahayo malipo na kuwataarifu kituo cha afya walipe huko?
Je unamfanyakazi kwenye kampuni mjanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.