Recent content by AfricaUnited

  1. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Amsons Group ya Tanzania inahusishwa kuinunua Oryx kwa Dola Milioni 250

    Na oilcom si walikuwa na mgogoro na Oryx energies ,kuna mdau huko mtandaoni kasema labda usuluhishi wa mgogoro umepelekea hii https://www.jamiiforums.com/threads/mvutano-wa-kisheria-kati-ya-oilcom-tanzania-na-oryx-energies-wafichua-changamoto-katika-mfumo-wa-usuluhishi-tanzania.2279514/
  2. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    unakopaje hela mbayo wewe mwenyewe kwenye mzunguko huna? may be uanze na kituo cha kukodisha
  3. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    hio ni salary ya fundi ofisi zingine ,Azidi kutembea kupata exposure .kama hio inamchanganya
  4. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Brigadier General Hassan Hassanzadeh aliyetangazwa kufariki aonekana hadharani akiwa kwenye bodaboda

    kwamimi naona hakuna ukweli,ingekuwa iran inataka kuwahadaa israel basi isingemuonesha hadharani kabisa ,ukizingatia ni kiongozi mkubwa iran pia picha ingekuwa viral mitandao ya kimataifa nnje ya facebook ambapo ndio imesambaa
  5. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    kwa asilimia 90% tunaabudu Mungu , ndio maana hata bungeni,shughuli za kiserikali tunataja Mungu, kwahiyo wengi wape
  6. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kuweka nyimbo za injili kwenye mabasi ya mikoani?

    Issue sio dini, Wote tuna abudu Mungu, Sasa ikipigwa nyimbo ya kikristo au ikipigwa hadithi za Quran sio issue ilinradi zinatoa mafunzo Tubapishana padogo tu
  7. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: Kamanda wa Jeshi aungana na Wananchi dhidi ya Rais Mnangagwa; asema nchi sio ya wahalifu (kina Chivayo)

    https://youtu.be/evWEuVR1XIs?si=Sm8dGUvQdUgVsKAD
  8. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Shuhudieni Mambo Makubwa Mazuri ya Bonge wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo! Je, Hapa Kwetu Alifanya Nini?

    Kuna jamaa alinisanua series moja Al Jazeera ya THE GOLD MAFIA , Jinsi ya Zimbabwe diplomats wanavotakatisha pesa ,ila haisiani na huyo The laundry machine ,Gold smagling series Cheki YouTube
  9. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

    Hilo kosa wengi linawakumba,hata Mimi nilishawahi fanya makosa Fulani Usikope zaidi ya 4 yrs , kopa 2 yrs -4 yrs kama huna sababu ya msingi acha Alternative km mkopo wa mda basi makato yawe 30% ya mshahara wako Ikizidi hapo danger zote
  10. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

    kuna DMO anakanyaga range evoque ,pia sio kila anaeendesha gari kali ni kutokana na kazi hio ,wengine kitambo kwao yapo ,wengine biashara zingine tofauti ukafikiri hio kazi ndio imempa hapana
  11. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Eti mtaalamu ila ukienda garage kwake unakutana na vyuma zaidi ya kumi vimelala

    Unakuta wateja wameshindwa nunua spare kwa wakati au wamesiteeelkeza mkuu Mafundi wengi nimegundua ndio hio issue
  12. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuwa tajiri kirahisi, mtaji mdogo tu fanya biashara ya bucha la nyama ya ng'ombe

    Hii nzuri,nahitaji kuifanya hii mishe ,nafanya utafiti. Ninaweza weka hata milion kadhaa kuangalia upepo nikiielewa zaidi
  13. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania KUMBUKIZI (2019): Magufuli alipompokonya Ardhi ya Ekari 1,000 Mohamed Kiluwa hadharani kwa udanganyifu

    ndio huyu ,alishinda high court alipwe mabilioni na wachi a wa kiluwa steel, ni kama dalali kuleta wawekezaji
  14. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Unauthorized action of CRDB Bank Plc of opening a company's account to unauthorized persons without the consent of the rightful owners

    Nimesoma mimi ,bank imesema ulipwe ile mil 13 na any loss suffered na kutoa report of incident hapo ndio patamu, Nani alienda kutoa hio ela kwenye account? inaezekana walifoji vitambulisho, hio ni criminal case ,bot wapewe ripoti walioomba kuhusu hio issue, Tafuta wakili mzuri kuhusu banking...
  15. AfricaUnited

    JamiiForums Tanzania Unauthorized action of CRDB Bank Plc of opening a company's account to unauthorized persons without the consent of the rightful owners

    Sasa ukifungua kesi Mahakamani washitaki na hicho kituo cha afya ,maana why walipe malipo kwenye account ambayo ujawapa? wanalipaje kwenye hio account? waliipata wapi? nani alijua bank kwamba unahayo malipo na kuwataarifu kituo cha afya walipe huko? Je unamfanyakazi kwenye kampuni mjanja...
Back
Top Bottom