Recent content by AfricaUnited

  1. AfricaUnited

    Shuhudieni Mambo Makubwa Mazuri ya Bonge wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo Akifanya Makubwa!, Je Hapa Kwetu Alifanya Nini?

    Kuna jamaa alinisanua series moja Al Jazeera ya THE GOLD MAFIA , Jinsi ya Zimbabwe diplomats wanavotakatisha pesa ,ila haisiani na huyo The laundry machine ,Gold smagling series Cheki YouTube
  2. AfricaUnited

    Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

    Hilo kosa wengi linawakumba,hata Mimi nilishawahi fanya makosa Fulani Usikope zaidi ya 4 yrs , kopa 2 yrs -4 yrs kama huna sababu ya msingi acha Alternative km mkopo wa mda basi makato yawe 30% ya mshahara wako Ikizidi hapo danger zote
  3. AfricaUnited

    Hizi ndizo taasisi za afya zenye mishahara mikubwa

    kuna DMO anakanyaga range evoque ,pia sio kila anaeendesha gari kali ni kutokana na kazi hio ,wengine kitambo kwao yapo ,wengine biashara zingine tofauti ukafikiri hio kazi ndio imempa hapana
  4. AfricaUnited

    Eti mtaalamu ila ukienda garage kwake unakutana na vyuma zaidi ya kumi vimelala

    Unakuta wateja wameshindwa nunua spare kwa wakati au wamesiteeelkeza mkuu Mafundi wengi nimegundua ndio hio issue
  5. AfricaUnited

    Unaweza kuwa tajiri kirahisi, mtaji mdogo tu fanya biashara ya bucha la nyama ya ng'ombe

    Hii nzuri,nahitaji kuifanya hii mishe ,nafanya utafiti. Ninaweza weka hata milion kadhaa kuangalia upepo nikiielewa zaidi
  6. AfricaUnited

    KUMBUKIZI (2019): Magufuli alipompokonya Ardhi ya Ekari 1,000 Mohamed Kiluwa hadharani kwa udanganyifu

    ndio huyu ,alishinda high court alipwe mabilioni na wachi a wa kiluwa steel, ni kama dalali kuleta wawekezaji
  7. AfricaUnited

    Unauthorized action of CRDB Bank Plc of opening a company's account to unauthorized persons without the consent of the rightful owners

    Nimesoma mimi ,bank imesema ulipwe ile mil 13 na any loss suffered na kutoa report of incident hapo ndio patamu, Nani alienda kutoa hio ela kwenye account? inaezekana walifoji vitambulisho, hio ni criminal case ,bot wapewe ripoti walioomba kuhusu hio issue, Tafuta wakili mzuri kuhusu banking...
  8. AfricaUnited

    Unauthorized action of CRDB Bank Plc of opening a company's account to unauthorized persons without the consent of the rightful owners

    Sasa ukifungua kesi Mahakamani washitaki na hicho kituo cha afya ,maana why walipe malipo kwenye account ambayo ujawapa? wanalipaje kwenye hio account? waliipata wapi? nani alijua bank kwamba unahayo malipo na kuwataarifu kituo cha afya walipe huko? Je unamfanyakazi kwenye kampuni mjanja...
  9. AfricaUnited

    Unauthorized action of CRDB Bank Plc of opening a company's account to unauthorized persons without the consent of the rightful owners

    Kama haijawahi fungua crdb ,maana yake inachodaiwa hapo ni kutumia jina la kampuni yako kwa fraudulent practise , Je ulinotice vipi km account imefunguliwa hapo na huna account hapo mkuu? hio statement ya hio account unayo? ikiwezekana tafuta wakili mzuri
  10. AfricaUnited

    Unauthorized action of CRDB Bank Plc of opening a company's account to unauthorized persons without the consent of the rightful owners

    Let me ask some questions im very eager to know more, 1. How you lost customers, how you lost 13m, how yo suffered loss to tune mil 500?, Je account kuu ilikuwa na hizo mil 13? 2. How did you fail to perform daily economic activities?Je bank ili flag account kuu nnje ya iliofunguliwa kwa...
  11. AfricaUnited

    msaada wa kisheria kuhusu mchakato wa madai ya kuachiswa kazi

    Hii si ndio miradi ya upon availability of funds? yaaani hao benjamin wanategemea hela za usaid, kama usaid hawajatoa hela hawana cash ya kutoa kwani upo pekeako? si mpo wengi? kwanini msiungane mkaongee kwa pamoja? pekeako haitakuwa na nguvu
  12. AfricaUnited

    Je Kati ya dalali na mwenye kiwanja nani yupo sahihi

    nishawahi zifanya najua vzr.dhuluma ni nyingi huko. hao madalali uchwara
  13. AfricaUnited

    Napendekeza kuwe na mikopo ya milion 2.5 kwa vijana ambao wanamaliza vyuo kama mtaji

    utafunga wangapi? jela hazitoshi, pia suluhu ni kuweka mfumo wa mkopo usio n riba kabisa na sharti upitie mafunzo kama veta yaani viwanda vinavozalisha lasivo watanunua iphone 19
  14. AfricaUnited

    Je Kati ya dalali na mwenye kiwanja nani yupo sahihi

    Issue ya udalali ipo hivi, 1. unaweka asilimia 5% hadi 10% wakiwa wengi na hela nzuri 20% 2.kama mnamakubaliano itakayozidi umpe sawa ,ila huwezi chukua 50% ya mauzo utajirikie kwa mgongo wa mwenye mali ni uwizi. hio si story ya kweli,hakuna dalali anaeweza kukataa mil 20 otherwise huyo...
Back
Top Bottom