Kuna jamaa alinisanua series moja Al Jazeera ya
THE GOLD MAFIA ,
Jinsi ya Zimbabwe diplomats wanavotakatisha pesa ,ila haisiani na huyo
The laundry machine ,Gold smagling series
Cheki YouTube
Hilo kosa wengi linawakumba,hata Mimi nilishawahi fanya makosa Fulani
Usikope zaidi ya 4 yrs , kopa 2 yrs -4 yrs kama huna sababu ya msingi acha
Alternative km mkopo wa mda basi makato yawe 30% ya mshahara wako
Ikizidi hapo danger zote
kuna DMO anakanyaga range evoque ,pia sio kila anaeendesha gari kali ni kutokana na kazi hio ,wengine kitambo kwao yapo ,wengine biashara zingine tofauti ukafikiri hio kazi ndio imempa hapana
Nimesoma mimi ,bank imesema ulipwe ile mil 13 na any loss suffered na kutoa report of incident hapo ndio patamu,
Nani alienda kutoa hio ela kwenye account? inaezekana walifoji vitambulisho, hio ni criminal case ,bot wapewe ripoti walioomba kuhusu hio issue,
Tafuta wakili mzuri kuhusu banking...
Sasa ukifungua kesi Mahakamani washitaki na hicho kituo cha afya ,maana why walipe malipo kwenye account ambayo ujawapa?
wanalipaje kwenye hio account? waliipata wapi? nani alijua bank kwamba unahayo malipo na kuwataarifu kituo cha afya walipe huko?
Je unamfanyakazi kwenye kampuni mjanja...
Kama haijawahi fungua crdb ,maana yake inachodaiwa hapo ni kutumia jina la kampuni yako kwa fraudulent practise , Je ulinotice vipi km account imefunguliwa hapo na huna account hapo mkuu?
hio statement ya hio account unayo? ikiwezekana tafuta wakili mzuri
Let me ask some questions im very eager to know more,
1. How you lost customers, how you lost 13m, how yo suffered loss to tune mil 500?,
Je account kuu ilikuwa na hizo mil 13?
2. How did you fail to perform daily economic activities?Je bank ili flag account kuu nnje ya iliofunguliwa kwa...
Hii si ndio miradi ya upon availability of funds?
yaaani hao benjamin wanategemea hela za usaid, kama usaid hawajatoa hela hawana cash ya kutoa
kwani upo pekeako? si mpo wengi? kwanini msiungane mkaongee kwa pamoja?
pekeako haitakuwa na nguvu
utafunga wangapi? jela hazitoshi, pia suluhu ni kuweka mfumo wa mkopo usio n riba kabisa na sharti upitie mafunzo kama veta yaani viwanda vinavozalisha lasivo watanunua iphone 19
Issue ya udalali ipo hivi,
1. unaweka asilimia 5% hadi 10% wakiwa wengi na hela nzuri 20%
2.kama mnamakubaliano itakayozidi umpe sawa ,ila huwezi chukua 50% ya mauzo utajirikie kwa mgongo wa mwenye mali ni uwizi.
hio si story ya kweli,hakuna dalali anaeweza kukataa mil 20 otherwise huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.