Wanajamvi ninavyo jua mimi kama umekwenda kudeposit pesa kwenye bank yoyote na ikagundulika kuna pesa feki basi inatakiwa itobolewe mbele yako na huruusiwe kuondoka nayo
Mkuu kwanza pole sana
Mimi mwenzio yalisha nikuta hayo kama 5 month hivi mkuu cha kufaya jaribu sana kuwasiliana na mke wakati wa kulala mpigie simu kwa kama nusu saa hivi mkuu jaribu kuvuta hisia kama vile mpo pamoja in the same truck mkuu itakusaidia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.