Kama aliende kwa sababu mama yake alienda kusoma masters alipaswa kurudi baada ya mama yake kumaliza masomo sasa yeye ali overstay hivyo lazima wamnyime na hawatampa tena visa ya US
Inasikitisha kuona baadhi ya watanzania wenzetu kwa sababu ya kisiasa wanashabikia au kushangilia kifo cha watz wengine kwa sababu za kisiasa Tanzania tinayohiharibu leo ndio tutawaachia watoto wetu bila kujali ww kama mzazi ulikuwa upande gani, yanayotokea uarabuni watu wanajilipua na mabomu ni...
Tanzania ya mfano kisiwa cha amani inapotea kwa kasi dah! hakuna wakati wowote sisi kama nchi tume stoop that low dah sijui tunaelekea wapi tumepoteza mwelekeo! why mbona haya mambo madogo jimbo moja au mawili hayabadilishi kitu chochote tunapandikiza chuki mbaya sana itatugharimu sana hapo...
Haya ni maisha tu mzee amepigania afya yake for 2yrs bila kufanya kazi yoyote mpaka ameuza nyumba yake mbezi beach hao mapedeshee wenzake wamesaidia sana mpaka wamechoka imefika mahali kama binadamu anahitaji msaada tisimuhukumu kwa makosa yake y nyuma tumsaidie tu hapo alipo anajuta sana lakina...
Kawaida kwenye hali ya namna hii ambako hakuna mzunguko wa pesa huwa tuna angalia biashara zinazogusa mahitaji ya lazima kama vile makazi, magadhi na chakula tunaweza kusubiri hali hii ipite labda 2025 kwa kupunguza manunuzi ya mvavazi na kuachana na ujenzi lakini hatuwezi kuacha kula kwani tuta...
Kwa wao kufanya biaahara za namna hiyo zilizotakiwa zifanywe na watu wa kawaida na wao wakatumika kuzi promote wakiwa kama mabalozi ni ukosefu ubunifu kwenye biashara na ushauri wa watu wenye ujuzi na utalaamu kwenye uwekezaji if they he worth 8bn angeweza kuwekeza kwenye fursa nyingi ambazo...
Hii ni medical problem especially kwa wale wanawake ambao mwanaume anamcheze vya kutosha ikiwamo kwenda chumvini ikiwa pamoja na mwanamke kuweka hisia zake kwenye game lakini hawaloi, sasa hapo ndio unatakiwa utumie jelly kama KY ndio muelewe hayo mafuta sio kazi yake ni kufiria ni lubricant kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.