Recent content by Africa one

  1. Africa one

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Mimi niko Dar natamani kufanya hiyo biashara kama nitapata connection
  2. Africa one

    Mwigulu, it's enough. You MUST resign!

    Red card inamhusu hadi mda huu
  3. Africa one

    Repoti za Waangalizi wa Kimataifa zaeleza kwamba Uchaguzi nchini ulikuwa Huru na wa Haki

    Ulielewa Lisu alivyosema na wakati gani? Iruhusu akili yako ichanganue mambo usiwe mtumwa wa kukaririshwa mambo. Pengine nikusaidie kwa ufupi alichokisema Lieu"mpaka sasa hivi uchaguzi unaenda vizuri katika kituo hiki nilichopigia kura, na hata jimbo langu hatujapata malalamiko" Note, 'hadi sasa...
  4. Africa one

    Ufafanuzi kuhusu Mshindi wa Kombe la Shirikisho la Azam na Qualification ya CAF confederation cup msimu ujao

    Kwani ikitokea simba akajisemea mimi nataka kucheza kombe la shirikisho sitaki klabu bingwa atalazimishwa itakuwaje japo ni ngumu kuacha kushiki kombe la mabingwa ukacheza shirikisho?? Pia msiwe na wasi wasi mshindi wa FA ya bongo ni Yanga hata msiumize bichwa
  5. Africa one

    Hujuma na Rushwa zinavyowakwamisha wazalishaji wa ngozi ya ng'ombe

    Nianze kwa kushukuru jukwaa hili kwa kazi nzuri linalofanya kutatua changamoto mbali mbali katika jamii kwa hoja, kero na maovu mengi yanayoanikwa hapa yamekuwa yakitatuliwa na wahusika moja kwa moja au kujirekebisha pale panapobidi. Nikirudi kwenye mada hapo juu, imekuwa ni kawaida sasa kila...
  6. Africa one

    Je, mzazi wako unaweza kumuita mlezi wako?

    Je, mzazi wako unaweza kumuita mlezi wako? Naomba michango yenu wadau kwani naamini hapa ndipo kisima cha fikira na michango hai katika hiyo hoja. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Africa one

    Viwanja vinauzwa Kisemvule

    Vipi bado viwanja vipo?
  8. Africa one

    CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

    Afadhali wametuokolea mda na gharama japo hizo gharama sijui km zitarudishwa serikalini. Lkn gharama na hasara ya chadema kujitoa ni kubwa kwa baadae kuliko ambavyo ingeshiriki lkn hii dhana inahitaji kwa mtu mwenye jicho la mwewe ndio ajue ninamaanisha nini,
  9. Africa one

    Naomba msaada wa dawa ya kichomi cha mbavu

    Ni siku ya nne sasa nabanwa na kichomi cha mbavu, nilienda hospitalini nikapima wakasema ni pneumonia inanisumbua nikapewa dawa nikatumia lkn bado maumivu yako pale pale hayajapungua,kimebana upande wa kushoto chini ya kwapa. Hivyo naomba kama kuna mdau anawezanisaidia dawa au ushauri dawa ya...
  10. Africa one

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Msaada: Nina mtoto ana umri wa miaka saba anasumbuliwa na vipele mwili mzima amejaribu dawa nyingi za hispitalini lkn hazijamsaidia na ana kama miaka miwili sasa vinamsumbia. Mara nyingi vinakuwa kama chunusi hivi haviwashi wala havitengenezi usaha kama upele wa kawaida lkn vimekuwa haviponi...
  11. Africa one

    Prof. Kabudi: Uwepo wa Viti Maalum bungeni ni kinyume cha Katiba ila upendeleo tu

    Kwani yeye uteuzi wake kama mbunge anasimama upande gani? Viti maalum au mbunge wa kuchaguliwa?
  12. Africa one

    Wazo: Kwa mvua zinazoendelea Dar, Shule zifungwe kwa siku tatu.

    Naunga mkono hoja, tazama hiyo picha inadhibitisha hilo
  13. Africa one

    Mamlaka ya Mkuu wa Mkoa katika kumuita na kumhoji mtu katika masuala nje ya Ulinzi na usalama

    Jamani tujifunze kujibiana kwa hoja humu, muuliza swali ansema anataka asaidiwe kifungu kinachompa mamlaka mkuu wa mkoa kutenda hilo analotenda mpe kifungu cha katiba, sio kumpa tusi ipo siku na wewe utahitaji kujua nawe ukatukanwa then ukashindwa kupata kusio la ulizo lako.
Back
Top Bottom