B.4really
Senior Member
- Jan 30, 2013
- 199
- 89
Wakuu salama?.
Nilikuwa nimekaa leo najiwazia ila sijapata majibu kuhusu hili swala, kama mnavyojua SIMBA SC ndio Mabingwa wa nchi msimu huu hivyo kulingana na kanuni zetu za TFF huyu tayari ndiyo mwakilishi wa Kombe la klabu bingwa Afrika msimu ujao.
Je ni vipi kama ikitokea Simba akamfunga Yanga hiyo Tar.12/07 na kutinga fainali na akabeba Kombe, Je ni nani Atakayeiwakilisha nchi kwenye kombe la shirikisho Afrika ikizingatiwa kwamba Mshindi wa Azam confederation ndio anatakiwa kuwa mwakilishi!?
Msaada wenu tafadhali wakuu.
Nilikuwa nimekaa leo najiwazia ila sijapata majibu kuhusu hili swala, kama mnavyojua SIMBA SC ndio Mabingwa wa nchi msimu huu hivyo kulingana na kanuni zetu za TFF huyu tayari ndiyo mwakilishi wa Kombe la klabu bingwa Afrika msimu ujao.
Je ni vipi kama ikitokea Simba akamfunga Yanga hiyo Tar.12/07 na kutinga fainali na akabeba Kombe, Je ni nani Atakayeiwakilisha nchi kwenye kombe la shirikisho Afrika ikizingatiwa kwamba Mshindi wa Azam confederation ndio anatakiwa kuwa mwakilishi!?
Msaada wenu tafadhali wakuu.