Katika tahasusi yako, utajumlisha thamani za alama za masomo yote ya tahasusi (combination subjects) ili kupata jumla ya thamani ya tahasusi, kwa kuzingatia:
A = 5, B+ = 4, B = 3, C = 2, D = 1.
Kwa mfano: Kama umepata
Physics - A
Chemistry - C
Mathematics - B+
GS - B
Utazingatia masomo ya...
Nami ni muhitimu wa ualimu, na madaraja haya ya ufaulu nimeyafuatilia kwa makini na karibu sana..
KWA UALIMU:
1. DISTINCTION ni daraja la juu la ufaulu lenye GPA kuanzia 4.5 - 5.0
2. CREDIT ni daraja la ufaulu la pili baada ya distinction lenye GPA kuanzia 3.6 - 4.4
3. PASS ni daraja la...
Lady Jay Dee hajawahi kulalamika nyimbo kutochezwa na media za nyumbani, ila media moja tu ya CLOUDS ambao wana mgogoro nae!! Kwa hyo comment yako ina ukweli asilimia 5% tu.
Wewe ulipewa jina gani huko kwenu? Unapaswa kubadilika kulingana na mazingira. Kama mkeo hajaridhia jina hilo unapaswa kushauriana nae, siyo kila jambo la kuiga..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.