Recent content by Afisa Doria Mitandaoni

  1. A

    Kuna jambo la msingi nataka kuwafundisha humu

    Ukiona intro ina mikwara mingi mara uwezo mdogo wa akili, mara usicomment, mara... nk basi ujue unachokwenda kusoma ni PUMBA
  2. A

    Hivi kama mkuu wa usalama anahusishwa na na kashfa za ufisadi wa kupindukia, tunaweza sema bado tuna nchi?

    Nikiwa kama AFISA DORIA MITANDAONI niliyepewa kitengo cha ufuatiliaji maudhui ndani ya Jamiiforums, nawahakikishia kuwa comments zenu nimezipitia zote na zinafanyiwa kazi zote, moja baada ya nyingine
  3. A

    Hawa ndio wakenya ambao chadema wanawasifia kwa kujitambua,

    Kwahiyo sote tunakubaliana picha siyo ya Kenya ni ya South Africa?
  4. A

    Uzinduzi wa kanisa la Mwamposa na maswali ya kujiuliza

    Nimejifunza hapa kuhusu Kawe Lakini nimecheka eti "kiwanda kinafariki"
  5. A

    Picha kuna post kama hizi zenye kuchochea ukabila

    Mnanifurahisha pande zote mbili mna hoja sielewi hata niegemee wapi
  6. A

    Hawa ni baadhi ya members wa JF wenye uwezo wa kufikiria nje ya boksi

    Mtoe Setfree kwenye orodha ya pili or else, list ni batili!
Back
Top Bottom