Picha kuna post kama hizi zenye kuchochea ukabila

Picha kuna post kama hizi zenye kuchochea ukabila

Mambo mengine nikujitoa ufahamu lakini unakuwa unajua ukweli halisi.

Hivi inawezekana vipi mtu aliye zaliwa na kukulia chato awe mbunge wa kisarawe pwani? yaani hata changamoto za watu wa huko hazijui ni hadi aambiwe. Kunatofauti kubwa mno ya mzawa na wakuja! sioni ukabila hapo jamaa alikuwa sahihi sana
 
Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere alishamaliza yake sisi tupambanie future yetu sio ya nyerere
Na mbona iyo ni majimbo mengi tu??jimbo nalotoka mimi kama mgombea haishi pale pale na familia yake hapati kura ata moja.na kampeni zinapigwa ni lazima uchanganye na kilugha otherwise watu hawakuelewi
 
Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere alishamaliza yake sisi tupambanie future yetu sio ya nyerere
Hatuwezi kumchsgua ambaye si wa nyumbani yeye asie mchaga kwa nini asigombee kwao hiyo biashara hatufanyi kamwe
 
Na mbona iyo ni majimbo mengi tu??jimbo nalotoka mimi kama mgombea haishi pale pale na familia yake hapati kura ata moja.na kampeni zinapigwa ni lazima uchanganye na kilugha otherwise watu hawakuelewi
Kweli mkuu lazima awe wa home hata magu alikua akiwa kwao lazima awape kisukuma kidogo wakae sawa
 
Na mbona iyo ni majimbo mengi tu??jimbo nalotoka mimi kama mgombea haishi pale pale na familia yake hapati kura ata moja.na kampeni zinapigwa ni lazima uchanganye na kilugha otherwise watu hawakuelewi
Tutachelewa sana kutoboa.
 
yaani hata changamoto za watu wa huko hazijui ni hadi aambiwe.
Na hii ndio kazi kubwa ya mbunge, kusikiliza wananchi na kwenda bungeni kusema kile alichotumwa na wananchi. Sio kazi yake kuwaza na kusema kile anachokiona yeye.

Hatumchagui mbunge ili awaze kwa niaba yetu, bali tunamchagua ili tumtume akazungumze bungeni kwa niaba yetu. Mbunge ni lazima aambiwe nini akatusemee bungeni.
 
Na hii ndio kazi kubwa ya mbunge, kusikiliza wananchi na kwenda bungeni kusema kile alichotumwa na wananchi. Sio kazi yake kuwaza na kusema kile anachokiona yeye.

Hatumchagui mbunge ili awaze kwa niaba yetu, bali tunamchagua ili tumtume akazungumze bungeni kwa niaba yetu. Mbunge ni lazima aambiwe nini akatusemee bungeni.
Civic education bado ni tatizo kubwa kwa mpiga kura, mbali na Chadema kutaka reforms kwenye uchaguzi wangesisitiza pia elimu ya uraia kwa wapiga kura, mtu anaamka anaenda kupiga kura lakini afahamu hata majukumu ya mbunge hii ni maajabu
 
Watu wa Kaskazini hawawezi kusahau walivyonyanyaswa na Wasukuma awamu iliyopita wakiongozwa na Makonda.

Huyo Msukuma Makonda akagombee kwenye majimbo ya usukumani
 
Aliyetoa uzi anasema ni kutoka kagera kanda ya ziwa anahoji inawezekana vipi mtu baye sio mchaga akapata uongozi uchagani .

Ameenda mbali anasema kaskazini inapwaya akatolea mfano arusha sakata la gambo na makonda kwamba zio wazawa lakini wanagombea kisa tu wameoa maeneo hayo .

Nyerere alipinga maswala ya ukabila na udini.

Wachaga kweli kuna majimbo wabunge wao sio wachaga mfan jimbo la siha lakini freshi tu hawajahoji

Mbona wachaga wenyewe hawana shida inakuaje wewe unaumia .

stop tribalism,stop kujiona bora
Sasa unaweza kulinganisha kagera na Kilimanjaro?
 
Upo swahihi.Nenda kagombee uwakilishi Zanzibar ili huu uzi wako niuelewe.
NB:Urudi na kitambulisho cha mzanzibari mkazi ili tuujue ukweli wako.
Wewe unaongelea ubunge wakati rais wa Zanzibar wa Sasa baba yake Mzee A. Mwinyi amekiri kwenye kitabu chake kwamba ni mzaliwa wa huku.
Dk. Mwinyi mwenyewe hata kusoma alisoma huku Azania sek.
Hata rais mwingine ajaye Zanzibar, atateuliwa Dodoma.
 
Hussein Mwinyi aliishi Dar, kasoma Dar. Akawa mbunge Mkuranga. Hatimaye akahamishiwa Unguja na kupewa Ubunge na hatimaye Uraisi.
 
Hasiye mzawa hajui matatizo ya wazawa.
Yapo majimbo ambayo hata mtu akitoka Rwanda Leo so long as anavaa kijani na ana vijipesa vya wizi anaweza kulichukua kiulaini TU.
Jimbo Kama Kibaha, Kwimba, Kibamba, Arusha mjini, Iringa mjini na Kawe.
 
Watu wa Kaskazini hawawezi kusahau walivyonyanyaswa na Wasukuma awamu iliyopita wakiongozwa na Makonda.

Huyo Msukuma Makonda akagombee kwenye majimbo ya usukumani
Makonda ilipaswa aje agombee jimbo la Kibamba tupate maendeleo. Makonda ni mtu wa kupenda sifa, anafanya kazi kwa bidii na masifa - matokeo ni kuwa yeye atapata sifa azitakazo lakini na wananchi mtapata maendeleo kwa jamii yenu.

Angekuja huku tupate barabara za lami Mpiji Magohe - Mbezi, Kibamba - Bunju, Msakuzi, Makabe - Mbezi; Haya maeneo yana wakazi wengi sana ila usafiri ni changamoto kubwa, mbunge wa sasa, Mtemvu yupo tu hazisemei, hafanyi mikutano nk
 
Makonda ilipaswa aje agombee jimbo la Kibamba tupate maendeleo. Makonda ni mtu wa kupenda sifa, anafanya kazi kwa bidii na masifa - matokeo ni kuwa yeye atapata sifa azitakazo lakini na wananchi mtapata maendeleo kwa jamii yenu.

Angekuja huku tupate barabara za lami Mpiji Magohe - Mbezi, Kibamba - Bunju, Msakuzi, Makabe - Mbezi; Haya maeneo yana wakazi wengi sana ila usafiri ni changamoto kubwa, mbunge wa sasa, Mtemvu yupo tu hazisemei, hafanyi mikutano nk
Kibamba ni Jimbo lisilo na mweñyewe, Kikeke angekua anakaa na watu, wangemshauri agombee Kibamba. Huyo mbunge wa Sasa hata sijui Kama anajua Kibamba hospitali ilipo.
 
Yapo majimbo ambayo hata mtu akitoka Rwanda Leo so long as anavaa kijani na ana vijipesa vya wizi anaweza kulichukua kiulaini TU.
Jimbo Kama Kibaha, Kwimba, Kibamba, Arusha mjini, Iringa mjini na Kawe.
Si ajabu hawana lolote,Jiji la Arusha halina Stand ya magari ya mikoani!
 
Wewe unaongelea ubunge wakati rais wa Zanzibar wa Sasa baba yake Mzee A. Mwinyi amekiri kwenye kitabu chake kwamba ni mzaliwa wa huku.
Dk. Mwinyi mwenyewe hata kusoma alisoma huku Azania sek.
Hata rais mwingine ajaye Zanzibar, atateuliwa Dodoma.
Aisee!Hutaamini hadi uguse.
 
Back
Top Bottom