Recent content by affinitytz

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyenyimwa Visa ubalozini kwa ''fujo'' alizofanya Guangzhou -China

    Nadhani ni muhimu ukiwa nchi za watu kuwa mpole tu.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyenyimwa Visa ubalozini kwa ''fujo'' alizofanya Guangzhou -China

    Hakupata VISA licha ya kujaribu katika ubalozi wa Zanzibar; inaonekana alishawekwa kwenye system yaani popote atakapoomba VISa ya China yupo banned.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyenyimwa Visa ubalozini kwa ''fujo'' alizofanya Guangzhou -China

    Mwaka jana mwezi March, kabla ya utaratibu mpya wa kuomba Visa kwenye ubalozi wa China hapo jijini Dar es Salaam. Nikiwa nimeshajaza fomu zangu na nikiwa nimeshapewa notification ya appointment na kuwasilisha fomu ya maombi ya VISA pamoja na viambatanishi vingine nikafika ubalozi wa China...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Hizi ndo sababu 5 kwanini Telegram ni bora mara 100 kuliko WhatsApp

    Nik kweli, whatsapp inabebwa na bahati na urahisi wa kuitumia(User friendly)
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anam-post Bosi wake WhatsApp Status

    Bosi ameshika hatamu nyumbani na ofisini.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Songolo: Hakuna bodaboda aliyefunga bendera ya chama kwenye Kampeni bure, tuliwalipa walikuwa kwenye biashara

    Wanasiasa wana kauli yao inasema hivi ''kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu ila kuna maslahi ya kudumu''
  7. A

    JamiiForums Tanzania Mkasa wangu kama 'Stepfather' baada ya kuwa na Single mother

    Dakika za jioni Single Mothers anapokea kichapo kitakatifu.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wanaona ugumu kumsifia mwanaume mwezie kama kapendeza au ni mzuri?

    Mambo ya kike ni kwa ajili ya wanawake; mambo ya kiume ni kwa ajili ya wanaume. Mke wangu; sijawahi kumsikia akimsifia kijana wetu wa kiume kuwa ni ''mzuri''. Wanawake wanajua madhara ya kuamsha hisia za kike kwa mtoto wa kiume.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mahusiano ya wazi ni dhana nzuri?

    Idea nzuri?! Na hizi UTI sugu, utangotango na homa ya ini vilivyojaa mtaani. Hapa ni kujiandaa kuwa mgonjwa tu.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Wanaolalamikia 'SINGO MAZA' wasipuuzwe. WANA HOJA

    Dada umeandika vizuri sana. Hii inaweza kuwasaidia wanawake wenzako na sisi wanaume kuona kile wanachopitia. Nimependa hili andiko kwa sababu limeeleza ukweli wote tena kutoka kwa mwanamke. Ukweli ni kuwa sio kila single mother ana matatizo; wapo ambao wanajitambua na hawaendeshwi kwa stress...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Single maza bwana, yaani baada ya kukurudisha kwenye chati ndo umeamua kumrudia baba watoto wako

    Pole sana, wanasema maisha na matukio.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Umeiweka vyema; ila bora huyo wa tatu - mwenye midset ya kimaskini unaweza kufanya jambo akabadilika lakini Femimist na Malaya hapo game over. Utajuta maisha yako yote.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Huu mkasa nilishuhudia; mahusiano na hekaheka zake

    Eddy alianza kutoa maneno kwa watu wachache baada ya wiki kila mtu akawa anamjua Naima ni nani na yaliyomkuta. Si ujnajua binadamu kukaa na jambo moyoni ilivyo ngumu. Unaweza kumhadithia girlfriend wako mkiwa kwenye mazungumzo yenu faragha, yeye akayabeba akaenda kumwambia rafiki yake baada ya...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Huu mkasa nilishuhudia; mahusiano na hekaheka zake

    Tulikuwa outnumbered; Chigaga, Jamaa na wale Vijana wawili...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nimemjibu vibaya mama mkwe mtarajiwa kutokana na hasira

    Pole sana. Tafuta tu mchumba mwingine. Si huwa wanasema wanaume wamejaa tele.
Back
Top Bottom