Recent content by affinitytz

  1. A

    Barabarani kuna watu wana Immunity, usijaribu kuiga. Sheria haziwahusu

    Pole sana kwa yaliyokukuta. Siku nyingine unga na yale magari ya BOT (zIle za grey zinazopeleka hela). Halafu njoo usimulie hapa. Iliwahi kunikuta, polisi akaniambia nakimbiza gari ya BOT :D hapo Mkuranga tu nikiwa naelekea Mtwara. Baada ya ile kauli nikamtazama yule askari nikajikuta...
  2. A

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Never say never. Usiseme siwezi, the future is full of surprises. Hii kauli inabidi uitoe sekunde mbili kabla ya kufa.
  3. A

    Una deal vipi na tukio kama hili au nilipotezee ni kawaida tu?

    Hayanihusu lakini nikueleze machache mdogo wangu. 1. Nyendo za mkeo ni za mashaka kwa sababu, kama mkeo ni mwanamke anayeheshimu ndoa na hana makandokando basi huyo jirani asingethubutu hata kuja kumuita. 2. Mkeo na huyo mwalimu mwenzake wanajua wanalofanya ila tu siku ya tukio ''timing''...
  4. A

    KERO Wakazi wa Kipunguni wamefikisha miaka mitatu bila kulipwa fidia

    Wale wa kipawa na kigilagila walikaa miaka mingapi? Nakumbuka kuna siku walifunga barabara pale Airport na Mzee JK alikuwa anatoka safari za nje, hali ilikuwa tete sana.
  5. A

    Anayefahamu Mradi wowote ulioanzishwa chini PPP ya David Kafulila atufahamishe, mimi siujui hata mmoja, ni Mwingi wa maneno tu

    As far as PPP is concerned, sio kazi ya Kafulila kubuni hiyo miradi chini ya PPP. Jambo la kwanza ni kuwa Kafulila ana cheo gani: David Kafulila ni Executive Director wa Tanzania Public -Private Partnership Centre. Kwa kiswahili Kafulila ni Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia baina ya Sekta ya...
  6. A

    Kiongozi Mkuu wa Wasabato duniani anachaguliwaje? kicheo anaitwaje? Anahudumu madarakani muda gani? Kuna Mwafrika amewahi shika wadhifa huo?

    Kwa ufupi; 1. Kiongozi wa kanisa la Seventh-day Adventist (Wasabato) anachaguliwa na kundi la wawakilishi wa kanisa kutoka katika kila kanda ya kanisa duniani kote. Kiongozi mkuu na viongozi wengine wote wanapigiwa kura na kuidhinishwa baada ya kupendekezwa na kamati ndogo ya Uchaguzi. 2...
  7. A

    Ifike mahali Tanzania nayo ijue Dunia hii inaendeshwa kwa PPP mpango wa kuandaa bajeti ya Serikali kwa matarajio ya mikopo na misaada ni kujidumaza

    Tanzania tuna sera ya Public Private Partnership tangu mwaka 2009 unaweza kuisoma kupitia link hii https://ppp.worldbank.org/public-pr...default/files/2024-07/Tanzania_PPP Policy.pdf Tatizo linaanzia kwa watunga sera ambao wengi wao aidha hawajui Public-Private Partnership (PPP) ama wanaijua...
  8. A

    Vijana wa Kenya wapo Doha na Dubai; Vijana wa Tanzania wapo wapi?

    Kwani si nimesikia siku hizi mashati yamelegezwa na unaanzia kujaza online, unakwenda pale kuwasilisha tu fomu zako na baada ya siku 7 unapata passport yako pale Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mlioko Dar es Salaam.
  9. A

    Ifike mahali Tanzania nayo ijue Dunia hii inaendeshwa kwa PPP mpango wa kuandaa bajeti ya Serikali kwa matarajio ya mikopo na misaada ni kujidumaza

    Tanzania tuna sera ya Public Private Partnership tangu mwaka 2009 unaweza kuisoma kupitia link hii https://ppp.worldbank.org/public-private-partnership/sites/default/files/2024-07/Tanzania_PPP%20Policy.pdf Tatizo linaanzia kwa watunga sera ambao wengi wao aidha hawajui Public-Private...
  10. A

    Vijana wa Kenya wapo Doha na Dubai; Vijana wa Tanzania wapo wapi?

    Huku sasa ndio usiseme kabisa, jamaa wanatuzidi mbali hata kwa waajiriwa kwenye mashirika na makampuni.
  11. A

    Vijana wa Kenya wapo Doha na Dubai; Vijana wa Tanzania wapo wapi?

    Ulichoandika ni kweli kabisa, niliona hata pale Riyadh Saudi Arabia kuna wakenya wengi sana wanafanya kazi. Tanzania tuna namna ya kuwafanya vijana kuishi bila kupambana kabisa. Yaani wachache wanakomaa kwenye elimu na wachache ni kwenye biashara za maana. Kundi kubwa ni la kubaki wakiomba...
  12. A

    Mchumba, mpenzi na baba wa baadae

    Kila la kheri Dada. Nikupe hongera tu kwa kuandika kwa ufasaha na mtiririko mzuri. Quote
  13. A

    Mwanamke miaka 40’s, nahitaji mume

    Kila la kheri. Life begins at forty
  14. A

    Ubalozi wa China wabadili utaratibu wa maombi ya Visa

    Kwa utaratibu huu sijui vishoka wataingia wapi ? Maana utaratibu wa zamani wale jamaa walikuwa na nafasi ya kutoa msaada kwa malipo. Maana kwa utaratibu mpya ni wewe na akaunti yako tu, taarifa zote unapewa kupitia account yako kwenye page ya https:www.consular.mfa.gov.cn
Back
Top Bottom