Pole sana kwa yaliyokukuta.
Siku nyingine unga na yale magari ya BOT (zIle za grey zinazopeleka hela). Halafu njoo usimulie hapa.
Iliwahi kunikuta, polisi akaniambia nakimbiza gari ya BOT :D hapo Mkuranga tu nikiwa naelekea Mtwara.
Baada ya ile kauli nikamtazama yule askari nikajikuta...
Hayanihusu lakini nikueleze machache mdogo wangu.
1. Nyendo za mkeo ni za mashaka kwa sababu, kama mkeo ni mwanamke anayeheshimu ndoa na hana makandokando basi huyo jirani asingethubutu hata kuja kumuita.
2. Mkeo na huyo mwalimu mwenzake wanajua wanalofanya ila tu siku ya tukio ''timing''...
Wale wa kipawa na kigilagila walikaa miaka mingapi?
Nakumbuka kuna siku walifunga barabara pale Airport na Mzee JK alikuwa anatoka safari za nje, hali ilikuwa tete sana.
As far as PPP is concerned, sio kazi ya Kafulila kubuni hiyo miradi chini ya PPP.
Jambo la kwanza ni kuwa Kafulila ana cheo gani: David Kafulila ni Executive Director wa Tanzania Public -Private Partnership Centre. Kwa kiswahili Kafulila ni Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Ubia baina ya Sekta ya...
Kwa ufupi;
1. Kiongozi wa kanisa la Seventh-day Adventist (Wasabato) anachaguliwa na kundi la wawakilishi wa kanisa kutoka katika kila kanda ya kanisa duniani kote. Kiongozi mkuu na viongozi wengine wote wanapigiwa kura na kuidhinishwa baada ya kupendekezwa na kamati ndogo ya Uchaguzi.
2...
Tanzania tuna sera ya Public Private Partnership tangu mwaka 2009 unaweza kuisoma kupitia link hii https://ppp.worldbank.org/public-pr...default/files/2024-07/Tanzania_PPP Policy.pdf
Tatizo linaanzia kwa watunga sera ambao wengi wao aidha hawajui Public-Private Partnership (PPP) ama wanaijua...
Kwani si nimesikia siku hizi mashati yamelegezwa na unaanzia kujaza online, unakwenda pale kuwasilisha tu fomu zako na baada ya siku 7 unapata passport yako pale Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mlioko Dar es Salaam.
Tanzania tuna sera ya Public Private Partnership tangu mwaka 2009 unaweza kuisoma kupitia link hii https://ppp.worldbank.org/public-private-partnership/sites/default/files/2024-07/Tanzania_PPP%20Policy.pdf
Tatizo linaanzia kwa watunga sera ambao wengi wao aidha hawajui Public-Private...
Ulichoandika ni kweli kabisa, niliona hata pale Riyadh Saudi Arabia kuna wakenya wengi sana wanafanya kazi.
Tanzania tuna namna ya kuwafanya vijana kuishi bila kupambana kabisa. Yaani wachache wanakomaa kwenye elimu na wachache ni kwenye biashara za maana. Kundi kubwa ni la kubaki wakiomba...
Kwa utaratibu huu sijui vishoka wataingia wapi ?
Maana utaratibu wa zamani wale jamaa walikuwa na nafasi ya kutoa msaada kwa malipo.
Maana kwa utaratibu mpya ni wewe na akaunti yako tu, taarifa zote unapewa kupitia account yako kwenye page ya https:www.consular.mfa.gov.cn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.