Recent content by affinitytz

  1. A

    JamiiForums Tanzania Songolo: Hakuna bodaboda aliyefunga bendera ya chama kwenye Kampeni bure, tuliwalipa walikuwa kwenye biashara

    Wanasiasa wana kauli yao inasema hivi ''kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu ila kuna maslahi ya kudumu''
  2. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wangu kama 'Stepfather' baada ya kuwa na Single mother

    Dakika za jioni Single Mothers anapokea kichapo kitakatifu.
  3. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wanaona ugumu kumsifia mwanaume mwezie kama kapendeza au ni mzuri?

    Mambo ya kike ni kwa ajili ya wanawake; mambo ya kiume ni kwa ajili ya wanaume. Mke wangu; sijawahi kumsikia akimsifia kijana wetu wa kiume kuwa ni ''mzuri''. Wanawake wanajua madhara ya kuamsha hisia za kike kwa mtoto wa kiume.
  4. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano ya wazi ni dhana nzuri?

    Idea nzuri?! Na hizi UTI sugu, utangotango na homa ya ini vilivyojaa mtaani. Hapa ni kujiandaa kuwa mgonjwa tu.
  5. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaolalamikia 'SINGO MAZA' wasipuuzwe. WANA HOJA

    Dada umeandika vizuri sana. Hii inaweza kuwasaidia wanawake wenzako na sisi wanaume kuona kile wanachopitia. Nimependa hili andiko kwa sababu limeeleza ukweli wote tena kutoka kwa mwanamke. Ukweli ni kuwa sio kila single mother ana matatizo; wapo ambao wanajitambua na hawaendeshwi kwa stress...
  6. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single maza bwana, yaani baada ya kukurudisha kwenye chati ndo umeamua kumrudia baba watoto wako

    Pole sana, wanasema maisha na matukio.
  7. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Umeiweka vyema; ila bora huyo wa tatu - mwenye midset ya kimaskini unaweza kufanya jambo akabadilika lakini Femimist na Malaya hapo game over. Utajuta maisha yako yote.
  8. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu mkasa nilishuhudia; mahusiano na hekaheka zake

    Eddy alianza kutoa maneno kwa watu wachache baada ya wiki kila mtu akawa anamjua Naima ni nani na yaliyomkuta. Si ujnajua binadamu kukaa na jambo moyoni ilivyo ngumu. Unaweza kumhadithia girlfriend wako mkiwa kwenye mazungumzo yenu faragha, yeye akayabeba akaenda kumwambia rafiki yake baada ya...
  9. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu mkasa nilishuhudia; mahusiano na hekaheka zake

    Tulikuwa outnumbered; Chigaga, Jamaa na wale Vijana wawili...
  10. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nimemjibu vibaya mama mkwe mtarajiwa kutokana na hasira

    Pole sana. Tafuta tu mchumba mwingine. Si huwa wanasema wanaume wamejaa tele.
  11. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu mkasa nilishuhudia; mahusiano na hekaheka zake

    Sisi sasa Special Force Unit mimi na mwenzangu hakuna kitu tulifanya zaidi ya kuwa mashuhuda tu
  12. A

    JamiiForums Tanzania Boda boda sio sifa ni uchafu na umasikini mkubwa

    Uwepo wa bodaboda nyingi mjini unamaanisha mambo matatu tu Kukosekana kwa usafiri bora wa umma: Utegemezi mkubwa wa pikipiki mara nyingi ni matokeo ya mifumo mibovu ya usafiri wa mabasi au treni. Kama watu wa mipango miji, TARURA na TANROADS wangefanya kazi yao sawasawa kusingekuwepo uhitaji wa...
  13. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu mkasa nilishuhudia; mahusiano na hekaheka zake

    Wasalaam; Miaka hiyo nikiwa mwaka wa pili chuoni. Dada ambaye tulikuwa naye kwenye group moja akanitumia meseji ni sms haya mambo ya whatsapp hayakuwepo). Meseji fupi tu ''njoo hapa room kwangu, uje na Eddy''. Kwa kuwa alikuwa kama dada kwangu na vile tulikuwa kwenye group moja la assigmnet...
  14. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti wa Chuo anataka nimuoe na nimvumilie amalize masomo, najiuliza itakuwaje badae?

    Hapa unasubiri maumivu ya milele.
  15. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mabinti wa kusini wamewekeza sana kwenye hilo eneo. Kuna jamaa alikaa huko miaka mitatu akarudi na begi lake la mgongoni tu.
Back
Top Bottom