Waafrika wengi bado tuna colonial mentality, ni ngumu sana kumtambua mwafrika alielimika na ambae hajaelimika!! Anae jiita msomi utamkuta kwenye foleni ya babu wa loliondo akisubiri apewe kikombe kilichojaa maji, akiamini eti hayo maji yanatibu na kumaliza kabisa magonjwa ya...
Watanzania siku tukiacha huu ujinga na upuuzi, tunaweza kupiga hatua toka kwenye mkwamo huu tulionao, mtu unaamka kutoka usingizini unawaza kuandika ujinga wakati mwanaume mwenzako anajaribu kufanya kila kilicho kwenye uwezo wake ili kujiongezea utajiri kwa ajiri yake na familia yake. Ngozi...
Vitu zingine zinachekesha!!! Sasa shela na hizo suti zinasaidia nini kwenye maisha yao?!!kwenye hizo biblia zenu mmeandikiwa lazima mvae shela,na suti?!! Akili nyingine ni aibu tu ni bora kutokuwa Nazi kabisa.
Ngozi nyeusi tuna matatizo sana!!!mtu anasimama anasema club inaweza kijiendesha kwa kuuza jezi na kutafuta wadhamini?!!hivi kwa nchi hii ambayo asilimia zaidi ya sabini ya wananchi wake wanavaa mitumba second hand,kutoka uko ulaya na Asia ndio wanunue jezi club ijiendeshe?!!! Uyo mshabiki kula...
Sasa unavyolia!!iyo ratiba yake ww ingekusaidia nn hata usingeijua?!!hivi ngozi nyeusi tuna tatizo gani?! Unasema kabisa eti "ndio nikaacha kumwamini!!!"au alikuwa anakubong'oa?!!kuna mambo mengi ya kuwaza na sio mwansume mzima unawaza ratiba za mwanaume mwenzako na unakuja kulalamika kwenye...
Nafikili hauko sawa!!wewe ambae sio mburula nifundishe mimi unaeniita mbulula unachokijua kuhusu HISA?!! unakuja na matusi tu bila fact!!! Bila shaka ww ni product ya shule za kata..!!unapotaka ku mprove mtu wrong njoo na fact with data,sio kukurupuka na mitusi kama mlevi.kumbafu
Inaonekana hujui chochote kuhusu biashara na uwekezaji?!! Kwa kukupa taarifa kidogo ni kwamba Simbasc upande wa wanachama,wana hisa jumla 51%lakini walizo kubaliana kwa sasa kuziingiza kwenye uwekezaji ni 11%,na mgawanyo wake uko hivi :waasisi wa club wamepewa 1%wanachama wengine ni10%.mwekezaji...
Kumbe una muda mzuri tu wa kuzunguka makambini kwa wapiganaji kuchunguza?!!hongera sana,ushauri wangu hapa uwezi kupata majibu mazuri tembelea kambi iliyo karibu nawe uliza maswali yako utapatiwa majibu mazuri na glasi ya juice kwa uchunguzi wako makini.
Nimekuuliza maswali mawili tu?!!ila unatoa maelezo rukuki!!! Wala sina asili ya uko unakokusema, namjua Tibaijuka,ni mmoja kati ya wanawake wachache sana smart, ambao wamewahi kuzaliwa katika hii nchi. Nimekutana naye kwenye platforms mbalimbali kubwa za kitaifa na kimataifa,ni mama mwerevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.