Recent content by Afande Bellick

  1. A

    Kuna nini katikati ya mbuga ya Serengeti?

    Ungerahisisha zaidi endapo ungewauliza hao wenyeji na ma guide kuwa eneo Hilo limekuwa kwenye ulinzi kama huo kuanzia miaka gani. Hii ingesaidia wale wataalamu wakupewa heading nakutiririsha madini wapate pakuanzia. Ushauri: JF members tujifunze tabia ya kuchangia ukweli na uhakika kwa kile...
  2. A

    Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

    Hakika yupo mikono salama Hasa hizi siku za mwanzo za kumtoa uraia. Huko alipoenda sio kama vyuo vingine ambavyo kipaombele kwa wanafunzi ni kubet na ngono.
  3. A

    Mtu wa kufanya Naye biashara

    Nawasalimu...Natamani mwezi August nifungue biashara ya kuuza mafuta ya kupikia,mchele na karanga. Kama kuna mtu yupo mikoa au eneo linalozalisha hayo mazao tunaweza kujadiliana namna yakufanya biashara kw maslahi ya pande zote mbili kwani nataka Kwa bei ya shambani. Nipo Moshi Kingine: Hivi...
  4. A

    Naombeni ufafanuzi kuhusu posho za nje ya kituo cha kazi

    Salaam wakuu. Naomba msaada tajwa hapo juu kuhusu posho Kwa viongozi Hasa kuanzia ngazi ya wizara na juu yahapo. Kinachonitatiza nikwamba,hivi kiongozi mwenye dhamana ya kushughulikia masuala yote ndani ya nchi(mikoa yote) ambaye ofisi Yake ipo Dar Kwa mfano, anaweza kulipwa posho akiwa...
  5. A

    kibaruani kwangu nimeongezewa majukumu lakini mshahara uko pale pale hii imekaaje?

    Job enrichment vs job enlargement......Nisehemu ya motisha mkuu
  6. A

    Kabla ya mwezi Julai 2025, kuna jambo zito mno! Giza nene

    Hilo jambo lisijekuathiri upandaji wa madaraja Kwa watumishi wa umma hiyo July tafadhali.Kama haliepukiki basi lisogezwe mbele kidogo.
  7. A

    Nakukemea Freeman Mbowe

    Mkuu umeandika nilichokuwa nakiwaza...Hawa wanaotaman Mbowe aongee bila shaka Wana maneno na mawazo ambayo wanataka Mbowe ayatamke.Akiongea tofauti wataibuka tena kusema anyamaze muda wake wa uongozi umeisha.
  8. A

    CHADEMA wanarumbana CCM wanachekelea Watanzania wanaumia, ni nani mtetezi wa kweli wa Watanzania?

    Kuna namna CHADEMA ya Lissu inaenda kuirahisishia CCM kazi. Wangeshiriki tu uchaguzi kwani wasingekosa madiwani na wabunge kadhaa.
  9. A

    Nikae muda gani ndo nitumie hii pesa?

    Duuuh! Kwa ulivyosoma mada yangu naonekana kama mwehu flanie?
  10. A

    Nikae muda gani ndo nitumie hii pesa?

    Kama kuna michezo kama hii hatupo salama sana.Nitajaribu kufatilia nijue hizo pesa zipo au ni kweli kuna janja janja
  11. A

    Nikae muda gani ndo nitumie hii pesa?

    Kama ni hivyo inamaana nikienda Kwa viongozi wakubwa wa benki hiyo kuna jipu/uozo utafichuka (Kam wahusika ni wangazi za chini)
  12. A

    Nikae muda gani ndo nitumie hii pesa?

    Ndg raia,rudi kwenye mada yangu tafadhali. Anyways,hivi hujasikia mheshimiwa flani akifafanua kuwa baadhi ya matukio sio utekaji bali ni 'Store away'?
  13. A

    Nikae muda gani ndo nitumie hii pesa?

    Habari zenu. Nina account mbili za miongoni mwa benki kubwa hapa nchini. Kati ya hizo account mbili ni Moja pekee huwa naitumia mara Kwa mara Kwa kuweka na kutoa pesa. Kuanzia mwezi April mwaka Jana Ile account ambayo siitumii mara Kwa mara imekuwa ikipokea pesa ambazo sijui mtumaji ni nani...
  14. A

    PreGE2025 Nyamuhokya: Mwaka huu Tucta hatuna madai kwa Rais labda yeye kama mama akiona ana cha kufanya

    Nadhani moyoni anaweza hivi "Kama tukiomba hatupewi ni Bora atupe yeye akiona inafaa"
Back
Top Bottom