Cpati picha Tanzania ya sasa tunakoipeleka.unafiki ndio utakao kuja kuiua na kuifilisi nchi yetu.iv hata ukiwa kiongozi wa chama cha upinzani huwez kutekeleza majukumu yako?kuhamia chama kingine mi naona hauwezi kuvunja malengo yako uliopanga kuyafanya kama kiongozi kwa manufaa ya wananchi.na...
Nikikumbuka toka mwaka Jana disemba tulivyoandika barua za likizo za malipo lakin had leo hatujapata cwez kuamin.na nikizingatia kauli moja alivyoitoa wakati wa kampen kuwa haiwezekan mtumishi acheleweshewe hela yake ya likizo.ila yote tumemuachia mungu.
Uhuru huo haupo tena.watapelekwa sero wakijadili.sijawah kuona utawala kama huu sio sir labda ule wa makaburu.lakini ikumbukwe kilio cha masikin ni laana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mtoto kishaona hitilafu za serikali yetu.lowasa tutakukumbuka sana busara zako ni kubwa.jamaa nyota yako imemshinda chukua urais nchi irudi mahali pake
Sent using Jamii Forums mobile app
Daa watumishi tutafia kibaruani.japo wahanga husema mnyonge mnyongen lakini haki Yake mpeni.serikali imewafilisi watumishi vya kutosha kilichobaki wapeni stahiki zao.bila hivyo serikali itakuwa ya uonevu mabavu na ya utapeli kwa watumishi wake.serikali jaribuni kutumia busara.
Sent using Jamii...
Unapopigania haki lazima utakumbana na mengi lakini mwisho wa ubaya ni aibu.kwani Mandela ilikuaje?lakin leo tunamuita mpigania haki za wanyonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote tumuachie mungu.akiongeza leo kesho mwakan hata asipoongeza sawa ni yeye tu tumeshazoea sasa.sisi tutapiga kazi ila ikumbukwe tu kuwa kwa mungu kila got litapigw normatter we ni chama gan!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu majaliwa ana busara sana mtu wa watu.na pia ana hekima.mungu akutangulie waziri wetu huwa nafurah sana tena zaid ya kufurah napokuta viongoz wanaonesha busara na hekima kama hiyo.sio hao kina G
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.