Recent content by advent luoga

  1. advent luoga

    Kuelekea Uchaguzi 2019/2020

    Vyama vya upinzani vya tz vimejikita sana kwenye kukosoa,wakati wanapokuwa bize na kupingapinga kila jambo,ccm kupitia john magufuli inaendelea kurekebisha mambo na kuleta maendeleo lukuki kwa watanzania ,mwisho wa Siku watakaporudi kwenye sela watakuta ccm imesha maliza kilakitu na watanzania...
  2. advent luoga

    Kitengo kipya cha kupokea malalamiko ya kodi

    Kabisa lakini kwamwendo huu wamzee jinsi unavyokwenda nakasi hii inatakiwa watumishi wa uma wabadilike tu vinginevyo watapukutika wengi sana kwakutumbuliwa.maana huyu mzee hataki masihara kabisaaa
  3. advent luoga

    Sababu ya Prof. Kabudi kuwa mpambe badala ya mshauri ni hii?

    Hamueleweki magufuli muacheni kama alivyo
  4. advent luoga

    CCM Mwanza kwisha

    Ccm ni chama kubwa Salina mpinzani
  5. advent luoga

    Tundu Lissu fanyia kazi ushauri huu!

    Nyumbu nyumbu
  6. advent luoga

    Rais Magufuli aagiza RCO Morogoro kusimamishwa kazi, malipo ni hapa hapa.

    Magufuri 2020anapita kiulaini Sana hana haja ya makubaliano yakumtumbua mtu, jambo kubwa linalompandisha kisiasa nijinsi anavyoikemea rushwa waziwazi pasipo kificho na hivyo wananchi wanafarijika Sana kwa kiongozi wao kama rais kuwa namsimamo katika jambo baya kama hilo la rushwa, jpm yuko...
  7. advent luoga

    Herufi R na L ni tatizo kwa Rais wetu, tumsaidie

    Acha kumsema vibaya rais wetu bwana r na l zinafaida gani kwenye maendeleo ya nchi? Mambo hayo kuwaambie nyumbu wenzio ndio mtaelewana.
  8. advent luoga

    Wapinzani wa Magufuli wameanza kampeni kwa kiwewe. He is here to stay!!

    Upinzani umekufa wamebakia wanaharakati tu kina mbowe,Fatma k,maria, mdee,nawenzao wengina ila magu nikiboko amewamaliza
  9. advent luoga

    Mume wangu anaishi maisha ya hali duni huku pesa yote akisaidia ndugu. Nimkomboe au niwe kama sijui kitu

    Mnyime unyumba ndio dawa yake akitaka mwambie akupe ela kwanza muuzie
  10. advent luoga

    Mbowe aeleza machache kuhusu kuondoka kwa Lowassa

    Leo wanamwona mwoga baada yakurudi ccm hapo ndipo ninapokamilisha usemi wangu kuwa chadema hawapo sirias na siasa zao.sasa mwekeni membe tuwatwange pia.
  11. advent luoga

    Tanzania ni nchi ya hovyo sana. Sijui tulikwama wapi watanzania

    Mkuu nani amekulazimisha kukaa Tanzania?na wakati ukijua kuwa ninchi ya hovyo si unge hama tu mkuu
  12. advent luoga

    Msaada nimekuta hiki ndani ya begi la mpenzi wangu

    Huo ni ushirikina mafungu hayo kila fungu moja amelinuizia mambo anayo yataka katika uhusiano wenu kwaufupi Huyo amekufunga we we iliuwe bwege mpige chini fasta
Back
Top Bottom