Recent content by Adui wa serikali

  1. A

    Nyie wenyewe mmezubaa:Mnaweza kujipa hela, hamtaki!

    Walidai haki zao huko beijing!kauli mbiu ikawa wakiwezeshwa wanaweza ndo kma ivi kibibi kizee cha turini,,,,kinatetea ujinga,ambao auna mbele wala nyuma dawa yao iko jikoni,,,kuanzia kwa FAKE DOCTOR,na Wafuasi wake wote!
  2. A

    Hodi hodi wana JF!

    Tedo,,,kwa kas ipi tena jamaa?asante sana!@lumbatengata asante bana!
  3. A

    Hodi hodi wana JF!

    Ebwana asante sana Ulimakafu,,,,bt ombi langu litapata ufumbuz!?
  4. A

    Hodi hodi wana JF!

    Ndo kwanza nina day 2,humu ndani,,,ombi langu nilikua naomba kiwepo kirumu cha kumdis FAKE DOCTOR,,,,na serikali yake ya awamu ya nne!
  5. A

    Hivi Rais wetu amemkosea nini Mungu? Kila kukicha lawama tuuu...hamchoki?!!!

    Ni bora enzi za real teacher,,kuliko enzi hizi ya FAKE DOCTOR(Dr)na hiyo dokta kwenye mabano sio ya kitabibu kma ya Dokta joachim wa pale muhimbili ni ya kisanii kma ya dokta love wa gazeti la sani!
  6. A

    Mwanaume asiye na gari mi hata simkubalii!

    Unge wauliza walizaliwa na magari?
  7. A

    Je, Kwanini wanawake wa kizungu wanavutiwa kimapenzi na wanaume wa Kimasai?

    Wazungu wa siku hizi wanapenda mtu yoyote,,bt kwa marasta sio sana tena cz marasta wengi wemeonekana wachafu na wezi,,,,na kuhusu kabila sio sana cz kuna iringa,morogoro,,,totoz zimefall ile mbaya!nina gf wangu mkanada na tumepata mtoto mwezi uliopita,,,,na tulokutana kigambon maisha yana...
  8. A

    Waziri ananitaka kimapenzi

    Huyo waziri mwambie kma anakutaka kiukweli amwache mkewe!
Back
Top Bottom