Ukweli ni kwamba wanaume wakimasai wanaachiwa hiyo kitu uliyosema wakati wa tohara lkn kurudi kny main theme ya topic yako hasa kwa Arusha,ninachojua wanawake wa kizungu wanapenda sana wanaume wa kiafrika be a maasai au kabila lingine lolote! Kwanza zaidi wanaopendwa ni marasta
Ukweli ni kwamba wanaume wakimasai wanaachiwa hiyo kitu uliyosema wakati wa tohara lkn kurudi kny main theme ya topic yako hasa kwa Arusha,ninachojua wanawake wa kizungu wanapenda sana wanaume wa kiafrika be a maasai au kabila lingine lolote! Kwanza zaidi wanaopendwa ni marasta
Marasta wanatoa nini cha ziada maana naona mambo yao kwenye maeneo hayo si haba.
Mmmmh! Mazito.
Mkuu kuhusu hiyo 'engineering structure' ni kweli kabisa, ndo maana mmsai kama hujatahiriwa porini unapoteza 'value' yako kama mwanaume na utadharauliwa sana kama huna 'the little dick'. Kifupi ni kwamba wao lile govi huwa hawaliondoi lote badala yake ile ngozi inaviringishwa na kuning'inizwa kwa chini kwenye shingo ya 'kitendea kazi'. hivyo ukiiangalia 'from a side' inaonekana kama herufi T.
Sasa ukiangalia 'morphology' ya 'doto' sehemu ya mkuno haswa iko kwa juu, nadhani ile nundu walipaswa waiweke kwa juu kwani wakati wa majambo ndo ingekuwa inagusa kunako mahala haswa. Mie ndahani hao watasha huwa wananogewa na 'mihogo ya jang'ombe' maana kwa hilo jamaa wamebarikiwa asikwambie mtu-wazungu wengi hawana mihogo ya jang'ombe aiseee na ndo maana midawa ya kuongeza ukubwa wa vitendea kazi umeanzia huko. Na hiyo ndiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kwa hawa jamaa wanawake wao wengi kukosa uzazi, maana kwa kale katabia kao ka kuwaingilia watoto wadogo na hiyo mihogo yao ya jang'ombe hupelekea 'watoto' wengi kuharibiwa vizazi wakiwa ktk umri mdogo sana. Wenyewe huwa hawapendi hili kuongelewa, lakini ukweli ndo huo.
Na ni ngumu kujua kuwa mwanamke wa kimasai hazai kwa sababu wengi huwa wanapewa watoto wa wake wenzao wenye uwezo wa kuzaa. Hili ni eneo ambalo mnaweza lifanyia utafiti mtajua nilisemalo ni kweli, ila unaweza ukajikuta unakosa data if you decide to embark on this study maana jamaa wako strict sana kwenye ku-expose their realities.
Ndugu huyo mzambia anaitwa nani naalikuwa anafanya kazi gani maana nina hisi kumfahamu
Wazungu wa siku hizi wanapenda mtu yoyote,,bt kwa marasta sio sana tena cz marasta wengi wemeonekana wachafu na wezi,,,,na kuhusu kabila sio sana cz kuna iringa,morogoro,,,totoz zimefall ile mbaya!nina gf wangu mkanada na tumepata mtoto mwezi uliopita,,,,na tulokutana kigambon maisha yana endelea kma kawa!so kuhusu asili ya wapi au staili ya nywele sio ishi,ishu ni wapi mmekutana,,,na kuelewana,,,!we say love is the deepest emotion!
Si bangi!!! nini mdogo wangu rasta sasa hivi yuko Norway kaolewa na binti mnorway walikutana ZenjiKwa nini Marasta wanapendwa zaidi?