Hivi Rais wetu amemkosea nini Mungu? Kila kukicha lawama tuuu...hamchoki?!!!

Tafakari, chukua hatua. Lawama zenu kwa kiongozi mkuu wa nchi haziwafikishi popote. Nawashauri mtubu kwa Mungu wenu, muombe kwa ajili ya nchi yetu na kufanya shughuli za maendeleo kwa bidii.

Too much blaming towards the president is nonsence, we are here because we are here and not because the president brought us here. By the way, he found us here and if we don't change, he will leave us where he found us, 'here'!!

Angalau unaongelea ujinga wako.
 
Tafakari, chukua hatua. Lawama zenu kwa kiongozi mkuu wa nchi haziwafikishi popote. Nawashauri mtubu kwa Mungu wenu, muombe kwa ajili ya nchi yetu na kufanya shughuli za maendeleo kwa bidii.

Too much blaming towards the president is nonsence, we are here because we are here and not because the president brought us here. By the way, he found us here and if we don't change, he will leave us where he found us, 'here'!!

1. Alibariki kuondolewa sitta u-spika na kumuweka bi kiroboto kwa maslahi ya mafisadi.

2. Hakuwa straight kwenye swala la posho za wabunge wakati anajua kwamba wananchi wote achilia mmbali watumishi kama walimu, madaktari,polisi nk hali zao ni mbaya kuliko wabunge mara mia.

3. Aliwadharau na kuwatisha waalimu na kusema kavukavu kwamba hata kura zao hazitaki na watapigwa virungu.

4. Hakujali juu ya vifo vya raia mahospitalini wakati wa mgomo wa madaktari.
4. Polisi wake wanaua raia wasio na hatia-songea na arusha yeye anachekacheka tu na kupotezea,

5. Sekondari darasa moja watoto 80 na zaidi katika chumba kimoja yeye anabadisha ndege toka nchi moja kwenda nyingine na hana mkakati wowote wa maana wa muda wowote wa ufumbuzi. Halimuumi!

Nk nk nk, unawza kuorodhesha mengi ya ajabu sana.

Asilaumiwe?

Anastahili lawama, na kwa kweli anastahili kujiuzulu.
Rais sasa amekuwa kichefuchefu.
Mnisamehe kwa kauli hiyo ya mwisho lakini kweli jamani rais gani huyu?

The only thing he can do best is to smile!

Anastahili lawama,tena zaidi ya lawama.
Nadhani hata mwenyewe kama atakuwa mkweli juu yake mwenyewe, akiwa peke yake chumbani, usiku kabisa mama salma akiwa amelala fofo. Lazima anajilaumu.
Kwanini asilaumiwe?
 
Wananchi wanaombwagia mungu kila kitu hawatatoka katika umasikini, maradhi na ujinga.

Na kila siku watauliza "Rais wetu kamkosea nini mungu" bila kujua power structure ndiyo iliyomtengeneza mungu ili watu wasiangalie matatizo ya maisha yao ya kila siku, na kuishia kumuomba mungu asiyekuwepo. Hili limekuwa hivi tangu enzi za Wababeli, falme za kale za kichina, mpaka leo kwa Bush na Obama. Ndiyo maana hata walevi mbwa wa Whisky kama kina Mkapa wakitaka urais utawaona St. Immaculate front row, wakiacha urais huwaoni ng'o.

Mungu ni smokescreen ya kuwapatia wanadamu wanachotaka.

Kama humtaki Kikwete na utawala wake jipange kuung'oa mwenyewe na wenzako. Habari za mungu utakufa na kuziacha hivyo hivyo.
Akili yako ni finyu sana kijana, kaa chini na ufikiri kwa kina
 
Tafakari, chukua hatua. Lawama zenu kwa kiongozi mkuu wa nchi haziwafikishi popote. Nawashauri mtubu kwa Mungu wenu, muombe kwa ajili ya nchi yetu na kufanya shughuli za maendeleo kwa bidii.

Too much blaming towards the president is nonsence, we are here because we are here and not because the president brought us here. By the way, he found us here and if we don't change, he will leave us where he found us, 'here'!!

bull sheet,ooh bull pig, we are here cause of EPA,dowans, initiated by jk
 
Ni bora enzi za real teacher,,kuliko enzi hizi ya FAKE DOCTOR(Dr)na hiyo dokta kwenye mabano sio ya kitabibu kma ya Dokta joachim wa pale muhimbili ni ya kisanii kma ya dokta love wa gazeti la sani!
 
Tafakari, chukua hatua. Lawama zenu kwa kiongozi mkuu wa nchi haziwafikishi popote. Nawashauri mtubu kwa Mungu wenu, muombe kwa ajili ya nchi yetu na kufanya shughuli za maendeleo kwa bidii.

Too much blaming towards the president is nonsence, we are here because we are here and not because the president brought us here. By the way, he found us here and if we don't change, he will leave us where he found us, 'here'!!

You are totally wrong, when he came into power we were definitely better off than we are now. He bought his way into power by promising better life for all Tanzanians (nobody but HIM and HIM ALONE who made him give those endless promises).

It doesn't matter how hard one works, his mismanagement and non-existing policies will always undermine the good-work that some of us are doing.

For every step forward the private sectors goes, kikwete and his group of incompetent buddies are causing one to go back three steps backwards. Poor decisions by his useless government are negatively affecting businesses in the country.

But I agree with you that we need to take steps, BUT OF REMOVING HIM and his group of useless people!
 
Tatizo huyooo rais kaingia madarakani sio kwa chaguo la wananchi walio wengi, kwasababu hiyo hakuna zuri atakaloweza fanya,yaani Mungu anamlipa ili kuitengeneza njia ya yule atakayekuwa chaguo la wananchi 2015,sisi hatumjui ila Mungu anamjua.

Kwa hiyo blaming hazitaisha, watu wana blame pale wanapoona si sawa, mwananchi wa chini hatendewi haki.mfano mgogoro wa madaktari rais alichelewa fanya maamuzi mapema na kusababisha vifo.Rais kama ni dereva basi analipeleka basi(nchi) kwenye korongo la mto kitonga tunaenda anguka wote.

Tumuombe Mungu awe dereva mwenyewe hadi hapo 2015,vinginevyo mwaka huu amani inaweza potea.Amani itadumu pale tu patapokuwa na utawala wa bora wa kupambana kikamilifu na rushwa(mafisadi wa hukumiwe na warudishe mali zote),serikali lazima kuwajibika ipasavyo kwa wananchi na rasimali za nchi lazima ziwanufaishe wananchi.

mimi sina ugomvi na rais ni pale atapofanya mazuri pasipo kuacha kwa manufaa ya taifa na kumtoa mwanachi wa chini kutoka kwenye ugumu wa maisha na umaskini uliopo sasa.Kama si hivyo nitamuomba Mungu asikwie kufanya replacement ya kiongozi mwingine maana 2015 ni mbali sana,tumechoka kuteseka.

message delivered!

huyu mheshimiwa Janga la Kitaifa katika uchaguzi uliopita alidai atakumbukwa kwa kutotoa hapa na kutupeleka pale! ni kweli kabisa alishindwa hata kueleza ukweli, alipotukuta na kututoa palikuwa ni PAZURI anatupeleka PABAYA na ndo alipokusudia kutuacha.
Tunamlaumu na Watanzania wataendelea kumlaumu (isipokuwa wewe Chereko Chereko maana tunaamini ww kwa njia moja au nyingine unafaidika na uongozi wake) kwa maisha haya aliyotuchagulia-HAYARIDHISHI hata yeye atakushangaa wewe unayemtetea kwani anajua alivyoyasababisha!
Tusiwe wanafiki kwa sababu maisha yetu ni mazuri(wachache) na walio wengi wanateseka! Nchi hii sa hizi watuhumiwa wa ufisadi wako mitaani wakati watuhumiwa wa kuku wako rumande na magereza, wananchi wanapigwa risasi za moto na serikali! uko wapi utawala bora, utawala wa sheria na nguvu ya wananchi? Msiongee kuwapumbaza wananchi, acheni unafiki kama mna mapenzi na nchi yetu ongeeni ukweli. kama kweli mko Tanzania na ni Watanzania wa KUZALIWA roho zenu zinawasuta-RAIS KAWAMALIZA WATANZANIA!
 
Tafakari, chukua hatua. Lawama zenu kwa kiongozi mkuu wa nchi haziwafikishi popote. Nawashauri mtubu kwa Mungu wenu, muombe kwa ajili ya nchi yetu na kufanya shughuli za maendeleo kwa bidii.

Too much blaming towards the president is nonsence, we are here because we are here and not because the president brought us here. By the way, he found us here and if we don't change, he will leave us where he found us, 'here'!!

we kama umeamua kutubu hamna neno, ila huyu maandazi atalaumiwa mpaka mwisho. unaijua siasa unaiskia!
 
Too much blaming towards the President is nonsense, we are here because we are here and not because the president brought us here. By the way, he found us here and if we don't change, he will leave us where he found us, 'here'!!


Kingereza safi kwa mwanafunzi wa "English Fountain". Very good! Keep ip up!
 
Kamkosea nini Mungu,hujui alichofanya kwa maandalizi yake tangu 1995 ya kutafuta Ikulu,kama hujui basi usichoke omba uelezwe. Isitoshe nyumba ikienda kombo wa kulaumiwa nani kama si baba wa nyumba? Au wewe Chereko chereko kama jina lako lilivyo mambo yako ni chereko Chereko hata katika hali hii! tafakari chukua hatua ndugu yangu
 
Raisi hafuatiliagi humu kwenye mitandao, hata ukifanya kujikomba namna hii hawezi kukujua.
 
Tafakari, chukua hatua. Lawama zenu kwa kiongozi mkuu wa nchi haziwafikishi popote. Nawashauri mtubu kwa Mungu wenu, muombe kwa ajili ya nchi yetu na kufanya shughuli za maendeleo kwa bidii.

Too much blaming towards the president is nonsence, we are here because we are here and not because the president brought us here. By the way, he found us here and if we don't change, he will leave us where he found us, 'here'!!

na atakufa na kuzikwa here!wanaomlaumu ni wa here here!na me ni mmojawao!
 
Kumkosea au kutokumkosea Mungu ni suala la mtu binafsi kutafakari mwenendo wake na kuangalia kama anafanya mapenzi ya Mungu. Wafalme wote ambao walikuwa wanaenda sawasawa na mapenzi ya Mungu, mfano kutegemea ulinzi wa Mungu pekee bila kufuata miungu mingine (wachawi, mizimu, wapiga ramli, ulinzi wa mapepo n.k) walikuwa wanaongoza himaya zao kwa mafanikio makubwa na watu wao waliwapenda. Kwa hiyo suala la uhusiano na muumba ni la mtu binafsi siyo la kutuletea humu kujadili.
 
Mnayakumbuka haya maneno mazito na nukuu hutuba ya jk mjengoni.....nitaleta uchumi unao paa...ndege nane kumbuka maneno yake alipo funguwa bunge first term
saa hizi sukari sh 3,000 mfumuko wa bei 20%
 
unaweza kuamini hii kwamba miaka yote waziri mkuu yupo tz lakini hakujua askari magereza wanaishi kwenye nyumba za matope.....au hapa arusha mjini wanaishi kwenye full suit ya bati.
acha basi labda wewe hujazaliwa tz hupajui....docta anaandika dawa akijuwa hazipo...jirani yako anauga kuku harufu yote ya mavi ya kuku inakujia aaaa weee
 
Kuna Mimtu Duniani Ina Maisha Magumu Kwa Sababu Ya Ndumu Na Unafiki
 
Back
Top Bottom