Habari za Asubuhi wakubwa zangu mwenyezi mungu ametupa ahueni tena na tunaendelea na majukumu yetu ya Kila siku. awali ya yote mimi Ni mwanafunzi niliechaguliwa kusoma hapo SAUT _Arusha ngazi ya diploma nilikua nahitaji msaada Kwa ambao wamekwisha soma hapo...
Kitu kinacho changia ukosefu wa ajira Ni mifumo yetu ya elimu kuwa mibovu na dhaifu
Yani haimfanyi mwanafunzi kuwa mbunifu wa kitu chake kutokana na fani (profession) yake aliyosomea
Badala yake wanafunzi wanasoma ili tu kufaulu mitihani na hawafundishwi uvumbuzi Yani...
Ndugu yangu Kama upo mkoani Arusha ungejaribu maduka ya Benson & company Hawa Ni wauzaji wa vifaa mbali mbali mbali vya umeme ikiwemo camera za kisasa za Canon ila Bei zinatofautiana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.