kwa mazingira ya kubeba mizigo usinunue pikipiki za aina hiyo ulizozitaja.
Nunua kinglion, fekon, au t better za cc 150 zisiwe na body ya muundo wa hizo boxer.
hutajuta
Hii hali mara nyingi usiku ndio inakuwa mbaya sana unawashwa zaidi?
Nimewai kuumwa miezi zaidi ya minne. Tiba tu ilizidi 250k sijaona nafuu yoyote wala kupona cha ajabu nikaja kupona na dawa hata haifiki elfu tano.
Kanunue BBE dawa ya kupaka, nazani pharmacy haizidi hata elfu 3 ndani ya siku...
Msikilize huyu tiba ipo hapa, nishaiona hii tena jamaa alikuwa mtu mzima umri wa kuoa baada ya hiyo akawa sawa.
Though strategy iliyotumika ilibidi jamaa azimishwe kwanza.
Samahani wana JF kama kuna fundi wa Key programming za magari naomba kujifunza.
Mimi ni begginer kabisa ujuzi nilionao ni wa program za doagnosis na repair ndogo ndogo za umeme wa magari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.