Kwanini mnajirekodi video mkiwa faragha?

Kwanini mnajirekodi video mkiwa faragha?

 
Mtoa mada mwenyewe amezitaja sababu kuu zinazowafanya watu wajirekodi video za faraghani afu anarudi tena kutuuliza eti kwanini watu huwa wanajirekodi.

Hatutaki kujaza servers za Melo bure.
 
Kuna mchepuko wangu (mke wa mtu) jana kafuma picha za uchi za mchepuko wa mumewe kwenye simu. Sasa kaniuliza afanyeje mi nimemwambia hebu nitumie hizo picha nikushauri cha kufanya. Ndio nazisubiria hapa ntawapa mrejesho.. Maombi yenu.
Ukitumiwa unitag.
 
Nipo ofisi ya watu reception kuna binti mrembo nimemuuliza kama anaweza jirekodi kavideo amebaki anacheka cheka tu, sijui ndio kaona leo wamepata mgeni chizi au kuna ka possibility kakujirekodi.

Huu uzi umeniponza
 
Back
Top Bottom