Moja ya mambo ambayo napambana watoto wangu wasije wakaamini na kuhangaika navyo ni hili suala la Majini na Uchawi. Kwangu Majini ni Uchawi ni sawa na UONGO/ULAGHAI ambavyo kwa pamoja, vinamuweka mtu mbali na MUNGU. Ukiwa mwepesi wa kuamini maswala ya majini na uchawi unajifunga uelewa wako...
Sheria dini ya Kiislamu zinakataza mtu kufanya aina yeyote ya dhuluma, utapeli, ulaghai na hiyana katika hatua nzima ya ufanyaji wa biashara iwe kwenye manunuzi au uuzaji.
Lakini utaratibu huo inaonekana kutozingatiwa na Kamati ya Manunuzi ya Baraza Kuu la Waislamu Manispaa ya Songea (BAKWATA)...
Wanawake wengi hawafuati au hawajui misingi ya dini kwa ufasaha wake kwenye ndoa, wengi wanaendeshwa kwa kauli za wahamasishaji wa masuala ya ndoa kama akina Harvey, Chris Mauki, Jada Smith na wengine ambao ndoa zao zinaendeshwa kwa namna wanavyoona wao zinafaa. Hivyo, wengi wao wanajikuta...
Mungu Ameweka kanuni ya wazi juu ya miaka ambayo yeye hutuma manabii wake Ulimwenguni. Soma maandiko kwa umakini utagundua hupita miaka kadhaa baina ya nabii na nabii mwingine. Yesu alitumwa kwa Waisraeli baada ya miaka 1500 ya Nabii Musa (Moses). Tazama Muhammad vile vile. Na sasa ni miaka 1500...
Kufanya kosa A hakukupi ruhusa ya kufanya kosa B, vivyo hivyo kwa kosa C n.k. Kumuita mke au mchumba unayemuingilia Mama ni kosa na hata kikawaida tu ni utovu wa adabu kumfananisha yeye na Mama yako, watoto wako nao wamuiteje?
Kumuita mkeo 'Mama' ni kumkosea adabu mwenye hadhi yake ya kuitwa hivyo. Huwezi kumuingilia mama yako hata siku 1. Kumuita mkeo mama kunaondoa ile ladha ya Heshima kwa MAMA aliyekuzaa au kukulea. Wenzetu Waislam wamekatazwa kuwaita wake zao MAMA na adhabu yake ni kufunga siku 21.
Mimi kuna rafiki yangu Abby, kadhulymiwa na mmoja ya wacheza dansi wa Twanga Pepeta, anaitwa Super Nyamwela, ambaye alimuomba huyo rafiki yangu amdhamini TV ya Smart inchi 32 ofisini kwao kupitia mdogo wake anaitwa Nicholas, kwamba angelipa baada ya mwezi mmoja. Huu Mwezi wa Sita sasa, kalipa...
Ni hatari kwa kiongozi wa dini kuzungumza maneno kama hayo. Kwa mtazamo wake, dini unafungamana na siasa na ndio maana imekuwa rahisi tu kwake kutamka maneno hayo bila kujali tofauti za kiitikadi na kichama za waumini wake. Ni maoni mabaya kutolewa na kiongozi wa dini au kanisa. Anawagawa...
Mbinguni haitumiki pesa na hazina kazi. Pesa ni zao la mwanadamu tu, mbinguni zao hilo halina thamani tena. Kule hakuna materials kama hizi za duniani. Mfano wa hali ya mbinguni ni sawa na Njozi. Unapotoa Njozi unaona kila kinachotokea Njozini kama kitu halisi. Unaweza ukajipata kuwa wewe ni...
Kila anayeamini jinni ni mfano wa hivyo nilivyotaja ni Ahmadiyya? Unakosea. Chunguza vema aya inayotaja majinni mwishowe inawahusu akina nani? Ikiwa majinni ni viumbe wengine bila shaka palikuwa na haja na wao (kwa fijra zako) wakahitaji nabii au mtume jinni kama wao, si binadamu kama mitume...
Sadaka ni ile hali ya kuwa tayari kukubali heshima yako, mali yako, uhai wako, tamaa zako na mahitaji yako binafsi yawe kwa ajili ya Mungu, wapendwa wako au watu wengine. Ni hali ya kuwapendelea zaidi wengine kuliko wewe. Kiimani, sadaka ni kufanya chochote kwa ajili ya Mungu. Unapotoa senti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.